Vipi kuhusu vifaa vya ujenzi kama mabati na mbao? Wapi wanauza bidhaa hizi kwa mtindo huu?Now days wafanya biashara wamekuja na mbinu mpya za kuuza bidhaa zao, wanakopesha the. Unalipa kdg kdg kwanzia pikipiki, bajaji simu nk, Sasa kwa anaejua wanapokopesha fridge au tv anipe location hapa dar
Huo sasa ni wizi kwa kweli!Hao hua washenzi tu bidhaa ya 300k unalipia Mpaka 800k huko Yani tabu tupu
Wapo ArushaVipi kuhusu vifaa vya ujenzi kama mabati na mbao? Wapi wanauza bidhaa hizi kwa mtindo huu?
Ahsante kwa taarifa hii! Je, naweza kupata contact zao?Wapo Arusha
Search olotu Trading ArushaAhsante kwa taarifa hii! Je, naweza kupata contact zao?
Ahsante sana! Ubarikiwe!Search olotu Trading Arusha
Vifaa vya ujenzi labda kuwekeza.Vipi kuhusu vifaa vya ujenzi kama mabati na mbao? Wapi wanauza bidhaa hizi kwa mtindo huu?
Nenda Magomen mapipaNow days wafanya biashara wamekuja na mbinu mpya za kuuza bidhaa zao, wanakopesha the. Unalipa kdg kdg kwanzia pikipiki, bajaji simu nk, Sasa kwa anaejua wanapokopesha fridge au tv anipe location hapa dar
Mapipa ni used tuu hakuna vipyaNenda Magomen mapipa
YeahMapipa ni used tuu hakuna vipya