Lipi bora kati ya biashara na elimu katika maisha?

Allysalim51

New Member
Joined
Jul 22, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Habari zenu ndugu zangu.

Jamani naombeni ushauri natamani mambo mawili (2); yaanni kusoma na kufanya biashara sasa nashindwa kuamu lipi ni fanye lipi niache lakini nikaona ngoja nililete hapa kwenu mnisaidie mawazo yaliyoambatana na vigezo vya kuzingatia kila kipengele.
 
Recently achana na xkul,mbona cyo issue do hayo ma buzness kama n payng 1,thn utawaona wa tz wenye videgree nothn.........
 

Ww utakuwa mpigamsuli umekuja kwa ID mpya
 
ushauri wangu elimu ni azina kubwa kwenye kichwa chako biashara utafanya ila ikifirisika hapo ni mtihani hivyo unapaswa uwe na elimu ya kutosha then ukijichanganya kwenye biashara itakuwa imeturia sana.
 
actually you need BOTH.Unahitaji elimu ya level fulani (say diploma) ili ikusaidie kupata mafanikio SUSTAINABLE kwenye biashara. Bila elimu utakuwa unafanya majaribio with RELATIVELY higher risk of failure.
Tunasoma ili kupunguza risk ya kushindwa. Vinginevyo
 
Bill Gates, steve jobs, mark zuckernberg (owner wa fesbuk) wote hao wali-drop out college... to me unaweza soma kidogo afu ukipata mwanga wakile ukipendacho ktk biashara ingia ufanye!
 
Bill Gates, steve jobs, mark zuckernberg (owner wa fesbuk) wote hao wali-drop out college... to me unaweza soma kidogo afu ukipata mwanga wakile ukipendacho ktk biashara ingia ufanye!​


elim ni bora hasa kama una malengo yakinifu
 
nakushaur ukasome walau degree hasa ya bussiness matters(if u wish 2 a sussecful bussinessman) then ndo uelekee kwenye biashara..hpe it works...
 
Elimu huwezi kuikwepa,ni muhimu kupata elimu kiasi fulani kulingana na uhitaji wako.Hii itakusaidia ukitaka kufanya biashara utakuwa unaufahamu zaidi.Na hujasema biashara ya ukubwa gani ,kama ni zile za old school unaweza fanya bila elimu.Ila kwa dunia ya sasa unahitaji ufahamu(elimu) ktk kile unachotaka kufanya.Sijui level yako ya elimu,kuna elimu ya ujasiriamali,elimu siyo lazima uipate shule,unaweza kaa na watu wakakufundisha practically or theory.Elimu inakuongezea uwezo wa kufikiri na kuona kile ambacho mtu asiye na elimu hawezi kukiona.
 
Bill Gates, steve jobs, mark zuckernberg (owner wa fesbuk) wote hao wali-drop out college... to me unaweza soma kidogo afu ukipata mwanga wakile ukipendacho ktk biashara ingia ufanye!

kabisa mwana I concur wth u 100%.......even michael Dell(owner f dell pc) dropped college.........achana na diz damn edn.
 
Unaweza kufanya vyote, itategemea na chuo unachotaka kwenda kusoma, na wewe mwenyewe utakavyopangilia muda wa shule na usimamizi wa biashara. kama upo interested na biashara ni vizuri ukasomea masomo ya biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…