Allysalim51
New Member
- Jul 22, 2012
- 4
- 0
Habari zenu ndugu zangu.
Jamani naombeni ushauri natamani mambo mawili (2); yaanni kusoma na kufanya biashara sasa nashindwa kuamu lipi ni fanye lipi niache lakini nikaona ngoja nililete hapa kwenu mnisaidie mawazo yaliyoambatana na vigezo vya kuzingatia kila kipengele.
Jamani naombeni ushauri natamani mambo mawili (2); yaanni kusoma na kufanya biashara sasa nashindwa kuamu lipi ni fanye lipi niache lakini nikaona ngoja nililete hapa kwenu mnisaidie mawazo yaliyoambatana na vigezo vya kuzingatia kila kipengele.