Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Saini(Sign) ni kiingereza ambapo ni kifupi cha signature,Sahihi ni kiswahiliNaomba kujua matumizi ya hayo maneno kuoneshe "signature" lipi ni rasimi?
Watu huwa wanachanganya lugha bila kujijua ila hakuna neno Saini kwenye kamusi ya kiswahili sanifu bali kuna neno Sahihi.