Lipi nilichukue

hapo ntaibiwa mpaka mwisho mume mwenyewe anapenda kutoka mwenyewe sana kisa nina mtoto wa miaka minne ntamwachia nani na hataki habari za housgeli

kumbe tatizo ni la kwako madia, wala usimlaumu. sikiliza nikwambie kaa chini na mumeo mwambie kabisa kuwa unahitaji mdada wa kukusaidia kazi hasa za mtoto, akikugoemea mwambie basi tumpeleke kwa bibi yake ili wewe upumzike ongea hata na dr akuandikie ed ya kazi za ndani. ili aone umuhim. usilogwa kumwacha mume atoke mwez mzima peke yake lazima ataanguka dhambini tu. siyo lazima kila siku utoke naye but in aweek mara 3 au 4 siyo mbaya. ngoja nikupn nkwambie kitu.
 
ila the fact hataki Housegirl, huenda anaepusha shari. Anajijua udhaifu wake!
 
no sijabadili jina ma dia hiyo ndo id yangu ya sku zote
 

Kadada naomba nikuulize... Umeolewa? Ndoa yako ina umri gani? Kama bado siku ukipata uzoefu ktk ndoa kwa japo miaka mitano tu naomba uniPM nikuambie kitu changu.
 
Inawezekana mumewako amesha kula mzigo wa dhambi . Hebu jiulize:
1. Kuna ulazima gani wa mume wako kuwa eaham wanaume anaotembea nao huyo mama?
2. Kulikuwa na ulazima gani wa mumeo ku trace in calls na out calls za huyo mama? Yeye kama nani?
3. Watu wameona viashiria gani visivyo vya kawaida mpaka waka mtuhumu? Kwanini wasitajwe hao anaodai mume wako kwamba ni ma bwana wa huyo mama? Je ina maana mumeo ndo yuko karib kuliko wateja wote?
Mimi nadhani fanya uchumguz wakutosha. Unaweza tu ukaanza na kumkataza asiende pale na wala asiwasiliane na huyo mama.
Pia mwambie kama anataka kunywa pombe akunywe nyumbani, ila ingekuwa bora akaacha kabisa pombe. ATAKULETEA UMEME BURE! Be smart.
 
Kadada naomba nikuulize... Umeolewa? Ndoa yako ina umri gani? Kama bado siku ukipata uzoefu ktk ndoa kwa japo miaka mitano tu naomba uniPM nikuambie kitu changu.

Asprin nimeolewa 10 years sasa nina nina watoto 3 mmdogo ana mwez mmoja sasa.
 
wewe ndo unamu amsha mwenzio
mimi nilipoona tu kaambiwa nime trace simu
nikajua tayari 'keshachapwa mtu'
nikamjibu kiutu uzima

we mjanja. . !! BTW i like dat person on ur avatar.
 
kweli kabsa ma dia ila mbona gfsonwin umesema utanipm mbona sijapata
 
Hongera umeolewa na rafiki yako. Si wote wenye bahati hiyo.

nashukuru Mungu sana Asprin ni yeye ndiye aliyenipa na pia nafikiri kuna hekima ambayo nilipewa sijisifu nilipitishwa kwenye magumu na ndugu wa mume yaani kama ingekuwa ni mtu mwingine angeondoka b4 hata kuwa na mtoto mmoja, but nilivumilia sana hadi nikaitwa KUBOTA.

nikwambie kitu mabinti wengi huwa mnasahau hili kwenye ndoa kamwe usiweke upendo mbele, tanguliza kwanza uvumilivu kisha heshima ndipo upendo ufuate. ukiutanguliza upendo ma dia kila kosa atakalo fanya umpendae litakuumiza sana. uvumilivu muulize hata mama yako atakwambia. ni ngumu for the first day but as you get used to it inakuwa simple. Binafsi huwa najua kuvumilia na kuheshimu kuliko kumpenda mume. hapa nitatofautiana na wengi lakin falsafa yangu hii imebnifanya kila siku niimbe niko kanani ndani ya ndoa.

pia muktegemea Mungu huyu akikuongoza na kila siku kwa imani yako amka saa 8 usiku mwambe mungu naomba amani na uzima ndani ya ndoa yako nakwambia atafanya. na uzuri wa mungu ukiomba kwa imani anakupa.
 
pole ever smiling gal..you sound like such a sweet lady who doesnt deserve what is on her plate!!jikaze kidogo tu-all will be well!
Kissez to yo baby-napenda watoto walio katika rika hilo!
 
jamani asante ma dia phina gfsonwin nashukuru kweli umenikumbusha kitu cha maana kuvumilia na heshima vikitangulia neno mwanamke mpumbavu haitasikika lakin upendo ukitangulia utaumia sana na utashinda ukilia
 
nawashukuruni kwa ushauri wenu wote jamani mbarikiwe wapenzi
 
hee,mbona unakuwa mkali hivyo?
 
mimi huwa nachoka,mtu akicheat,kwa kuwa hakuonyeshi,ni anakupenda.mapenzi gani hayo?ku cheat,ni kuna kitu anakikosa ndani ya ndoa,kinamfanya acheat.mwanaume aki cheat hata kama hajionyeshi kwangu mimi huwa hakupendi.kwa nini tunapenda kujidanganya?wapo wanaume wana mapenzi na wake zao,na hawajawahi ku cheat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…