Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetuUku kusini umeme unasumbua sana kwa kukatika kila mara , mtwara ,masasi,lindi na ndanda kuanzia mchana hadi sasa hivi saa 5 kasoro usiku hui hakuna umeme
Huduma gani mbovu? Eneo gani wilaya namba yako ya simu tafadhaliUzuri wa page ni lazima uendane na ubora wa huduma
Wat is the use of a gud page kama huduma zenu ni mbov??
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na *Selection*
3. Kwa upande wa Award Category chagua *DIGITAL GOVERNANCE* na chagua *BEST GOVERNMENT PAGE OF THE YEAR* kwenye kipengele cha Sub Category
4. Kwenye kipengele cha Selection chagua TANESCO
Hatua ya mwisho wameandika VOTE NOW! Bonyeza hapo na utakua umefanikiwa kupiga kura yako. Asanteni sana na tunaomba ushirikiano wako!
Tanesco mnajitahidi sana huwezi walinganisha na Dawasco mko vizuri kwa kweli [emoji122][emoji122][emoji122]Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na *Selection*
3. Kwa upande wa Award Category chagua *DIGITAL GOVERNANCE* na chagua *BEST GOVERNMENT PAGE OF THE YEAR* kwenye kipengele cha Sub Category
4. Kwenye kipengele cha Selection chagua TANESCO
Hatua ya mwisho wameandika VOTE NOW! Bonyeza hapo na utakua umefanikiwa kupiga kura yako. Asanteni sana na tunaomba ushirikiano wako!
Tunashukuru sana mkuuTanesco mnajitahidi sana huwezi walinganisha na Dawasco mko vizuri kwa kweli [emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nawapigia kura sasa hivi ila naomba mnijibu swali dogoLipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na *Selection*
3. Kwa upande wa Award Category chagua *DIGITAL GOVERNANCE* na chagua *BEST GOVERNMENT PAGE OF THE YEAR* kwenye kipengele cha Sub Category
4. Kwenye kipengele cha Selection chagua TANESCO
Hatua ya mwisho wameandika VOTE NOW! Bonyeza hapo na utakua umefanikiwa kupiga kura yako. Asanteni sana na tunaomba ushirikiano wako!
Duh!! Watu mumepinda aiseeTanesco rudisheni umeme tuchaji simu tuwapigie kura
Tanesco Musoma ni tatizo sana! Watu wanataka kufuatwa fuatwa ili kutimiza wajibu wao! TAT ya hovyo sana. Naanzaje kupiga kura .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari wakuu, wote tunaelewa njia pekee ya kuidhibiti corona isisambae kwa kiwango kikubwa ni kukaa ndaniLipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na *Selection*
3. Kwa upande wa Award Category chagua *DIGITAL GOVERNANCE* na chagua *BEST GOVERNMENT PAGE OF THE YEAR* kwenye kipengele cha Sub Category
4. Kwenye kipengele cha Selection chagua TANESCO
Hatua ya mwisho wameandika VOTE NOW! Bonyeza hapo na utakua umefanikiwa kupiga kura yako. Asanteni sana na tunaomba ushirikiano wako!