barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ajib atakoma!Wa matopeni wanatafuta mchawi...hahaa..
Baiskeli ya miti huwa haifiki mbali. umeshasahau wakati mnadai timu yenu kwa Hans Pope hapo Taifa.Kati hali isiyo ya kawaida leo Katika Uwanja wa Uhuru mashabiki wa Yanga wamejikuta wakiingia ktk mizozo mara kwa mara kufuatia kutokuwa na Imani na mazingira ya leo uwanjani hapo kiasi cha Jeshi la Polisi kuzuia makundi ya mashibiki hao ambao walikuwa na hasira wakiamini Kuna hujuma dhidi ya timu yao.
Mpaka mchezo unakwisha timu hizo zimetoka dare ya goli moja kwa moja lakini nje ya uwanja mashibiki wamekaa vikundi vikundi wakijadili kuwa timu yao Kuna hujuma toka kwa watani wao wa jadi.
Lakini hakuna aliyejeruhiwa
Mbona unanipa ushabiki wa timu ambayo Mimi si mshabiki wakeBaiskeli ya miti huwa haifiki mbali. umeshasahau wakati mnadai timu yenu kwa Hans Pope hapo Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi usisahau kuwatembelea keko Kaburu na Aveva.Mbona unanipa ushabiki wa timu ambayo Mimi si mshabiki wake
Mkuu acha jazba. Nitakuazima Okwiii kwa mudaAcha upuuzi wewe. Uwanja gani huo ulienda??
Sasa huyo babu ni timu gani makini inayoweza kumsajili na vijana wamejaa tele?Mkuu acha jazba. Nitakuazima Okwiii kwa muda
The principle of rapid heating and cooling kina apply kwenye soka letu.
Matopeni wana heat haraka na ku cool haraka katikati ya msimu.
Yanga wana heat taratibu. Mwisho wa msimu watakuwa kwenye peak!
Peak!Kwahiyo Yanga mtakuwa kwenye HEAT?
Hao vijana wana mabao mangapi?Sasa huyo babu ni timu gani makini inayoweza kumsajili na vijana wamejaa tele?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasoma post ipi?Kwahiyo Yanga mtakuwa kwenye HEAT?
Duuh mi simoKwa hiyo na mwaka huu mnataka muanze namba kumi na moja? Endeleeni na hiyo nambamuone kama hamjashuka daraja
Unajua kuwa TFF uongozi umebadilika.....? Ndio maana leo penalt haijatokaYanga mwaka jana ilikua ya kumi na moja wakati Simba ilikua number moja katika ngwe karibu yote ya kwanza. Ila ubingwa.....
Mwaka huu Arsenal atachukua kombe?Unaj awa TFF uongozi umebadilika.....? Ndio maana leo penalt haijatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona leo hali shwari. Mlizidi mno na Tshishi kaminywa leo vilivyoPeak!
Watakuwa kwenye heat wanaotafuta za mezani kule FIFA
Malinzi yuko lupango mhenga... hivi sasa linachezwa soka sio mbelekoYanga mwaka jana ilikua ya kumi na moja wakati Simba ilikua number moja katika ngwe karibu yote ya kwanza. Ila ubingwa.....
Entertainment?? HahahaPoint yangu ni kwambakuanza droo kufungwa ama kufunga bado sio kigezo cha kuwa bingwa.
Kubwa kwenye mpira wowote lazima ujiulize mechi ilikua nzuri? Ilikua inasisimua? Fitness ya wachezaji? Makosa yaliyofanywa yalikua yanaweza kuzuilika n.k
Football is all about entertainment