Round ya kwanza asilimia kubwa ilikuwa away, ni mechi chache ndo tulicheza nyumbani, hii yote ni kwasababu timu tano zilikuwa za mkoa wa dar kwahiyo ili kuzipunguzia gharama timu ratiba ikawa timu kutoka nje ya dar ni bora zikienda zicheze angalau na timu mbili au tatu ndo zirudi nyumbani..kwahiyo lipuli ikacheza mechi nyingi nje kuliko nyumbani