Lipuli yafanikiwa kurudi ligu kuu ya Tanzania (VPL)

Lipuli yafanikiwa kurudi ligu kuu ya Tanzania (VPL)

Round ya kwanza asilimia kubwa ilikuwa away, ni mechi chache ndo tulicheza nyumbani, hii yote ni kwasababu timu tano zilikuwa za mkoa wa dar kwahiyo ili kuzipunguzia gharama timu ratiba ikawa timu kutoka nje ya dar ni bora zikienda zicheze angalau na timu mbili au tatu ndo zirudi nyumbani..kwahiyo lipuli ikacheza mechi nyingi nje kuliko nyumbani
Ndio unyooshe kiswahili..... Hapa umeeleweka sio kusema MECHI ZOTE MMECHEZA UGENINI
 
Hii Lipuli ingebadilisha jina kidogo iitwe Libolo uone kuna timu fulani lazima itajiondoa kwenye ligi,maana wakiona au kusikia jina la Libolo vyupi vinawavuka wenyewe.
 
Back
Top Bottom