Urasa wewe hujuwi mapandikizi ya ccm!kwa taarifa yako kuanzia mtei muasis wa chadema mpaka mpendazoea fried hakuna mpambanaji wa mageuzi pale,historia inaonyesha wapambanaji wa kweli ni cuf,kuanzia lipumba,hamadi mpaka minazi na migomba ipo nyuma ya cuf,kwa sababu kama sikuonja bakora za ffu basi jela,juma duni alikaa miaka 2 na nusu,seif sharif na lipumba bakora za ffu,je niambie mrema hakuwa na nguvu kuliko chadema na dr slaa wake?,ipo siku alikutana na ffu au alikaa jela? Wewe hujuwi siasa ya ccm,ila subiri uchaguzi utakuja kuniambia weka kumbukumbuku hili .._)