Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela za Cuf kwani Mutungi na Ccm si wanajua zilivyo tumika? Hii ni ripoti tuu ila majibu wanayo wenyewe. Hata kwenye upokeaji kwani umemsikia hata Mh. Rais akiongelea hilo jambo? Tuache wafu wazike wafu waoMutungi angeambiwa awaandikie chadema barua ya kwanini wasifutiwe usajili?
Mutungi na Sisty Nyahoza wanahusika , Hawana pa kuchomokeaHata mie nimejiuliza sana maswali, hapa JF pangechafukaje?
OK, hebu turudi tuwekane sawa. Mbowe ametuhumiwa sana na sio tuu hapa JF bali hata viongozi wa CCM akiwepo Polepole na wabunge (wale wajingawajinga kama Lusinde) kuwa ni mla Ruzuku na Chadema chama cha upigaji lakini inakuwaje CAG na wakaguzi wake wasiyaone hayo? Au ofisi ya CAG ni wanachama wa Chadema?
Ukweli unazidi kuwa wazi ingawa unakuja kwa mwendo wa pole sanaView attachment 1400700
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mno !nakuambia palepale ingetoka amri; ''wakamatwe viongozi wote wa CHADEMA wafungulieni kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha pesa! Sema dhambi hii imefanywa na CUF- CCM ndio maana hakutakuwa na lolote zaidi ya kufukia! Kesi ya ngedere na tumbili hii.
shetani hana rafikiBaada ya kutumika,sasa wanageukwa!!
Dogo umasikini wako umesabishwa na ccm, machadema mungu ameyajalia akili elimu, na ukwasi, we myonge pambana na hali yako nyie ndo mtaji wa ccm kutawala milele, mkidhani mnawakomoa CDM kumbe mnaxidi kuwa wanyonge kipeuo cha pili
Dogo umasikini wako umesabishwa na ccm, machadema mungu ameyajalia akili elimu, na ukwasi, we myonge pambana na hali yako nyie ndo mtaji wa ccm kutawala milele, mkidhani mnawakomoa CDM kumbe mnaxidi kuwa wanyonge kipeuo cha pili