Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
"Uchaguzi Serikali Mitaa 2024 ulitarajiwa kuponya majeraha ya Kidemokrasia yaliyotokana na Uchaguzi wa 2019 na 2020 lakini umezidisha maumivu na kuwakatisha tamaa wananchi na wadau wote wa demokrasia juu ya uwezekano wa kutopata Uchaguzi huru na wa haki hapa nchini,
Matokeo ya Uchaguzi yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI tarehe 28 Novemba 2024 yaliandaliwa tarehe 26 Novemba wakati Uchaguzi ulifanyika tarehe 27 Novemba.UCHAGUZI huu umetia dosari kubwa na kuondoa kabisa MATUMAINI ya kupatikana maridhiano ya DHATI KWA UPANDE WA DEMOKRASIA. Kidonda kilichoonesha dalili za kupona na kukauka kimeanza upya kuvuja damu. Uharibifu wa Uchaguzi ulidhihirika kwenye hatua zote za mchakato."
Matokeo ya Uchaguzi yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI tarehe 28 Novemba 2024 yaliandaliwa tarehe 26 Novemba wakati Uchaguzi ulifanyika tarehe 27 Novemba.UCHAGUZI huu umetia dosari kubwa na kuondoa kabisa MATUMAINI ya kupatikana maridhiano ya DHATI KWA UPANDE WA DEMOKRASIA. Kidonda kilichoonesha dalili za kupona na kukauka kimeanza upya kuvuja damu. Uharibifu wa Uchaguzi ulidhihirika kwenye hatua zote za mchakato."