Lipumba yuko Magomeni leo, kulikoni baridi hivi?

Lipumba yuko Magomeni leo, kulikoni baridi hivi?

CUF ilikuwa inatembelea pumzi ya Maalim sief na Wapemba. Kwa bahati mbaya Lipumba na uprofesa wake hakujua ukweli huu, akakubali kutumika kama toilet paper akamzingua Maalim Seif kwa mbeleko ya dola. Maalim Seif akawahamishia Wapemba kwa Zito kabwe.

Leo hii Lipumba kaipotezea CUF mvuto moja kwa moja. Hata mkutano wa leo atadhihisha ni kwa jinsi gani kaipotezea mvuto CUF. Zito naye asije akakosea akawapandishia kibezi Wapemba, atajua hajui.

18:00 imeshapita hiyo hakuna ki picha wala rejea ya ki online TV.

Si chawa wala chawa mbatata kasema nini kimejiri Magomeni.

Kulikoni Jilala, Country , Mtambuka, joni imekuwa je wajomba?
 
🙆😂😂 Hata CCM wameona uvuvi kwenda kumsaidia kujaza watu kwenye huo mkutano.

Waliaswa vichwa panzi bila ya kumtaja Lissu au Chadema, hakuna mtu wa kumsikiliza Lipumba.
 
Watanzania tumeshastuka kwba mwanzoni tulilishwa pumba za sifa pumba za Lipumba eti kwamba yeye ndiye mchumi mahili sana duniani.

Na tukadanganywa kuwa Lipumba ndiye mshauri wa mambo ya uchumi wa USA, Uganda, Rwanda, SA na nchi nyingine nyingi.

Kama mlidanganywa kufikia kiasi hicho basi nchi hii mbumbumbuu ni wenfi mno! Kweli vyuo vikuu vyote hivi kwa mamilioni duniani vinavyofundisha uchumi pamoja na walimu wake Lipumbu wa uchumi, yeye ndiye awe gwiji la dunia? Kushinda hata ma full professors wa uchumi duniani? Maana yeye bado ni Associate Professor tu hata Full Professor hawezi kuipata maana ni parefu! Kweli mlidanganywa kwa sababu elimu zenu wengi ni za darasa la saba! Msomi yeyote hawezi kudanganywa kijinga hivi hata mara moja!
 
Back
Top Bottom