- Thread starter
- #21
CUF ilikuwa inatembelea pumzi ya Maalim sief na Wapemba. Kwa bahati mbaya Lipumba na uprofesa wake hakujua ukweli huu, akakubali kutumika kama toilet paper akamzingua Maalim Seif kwa mbeleko ya dola. Maalim Seif akawahamishia Wapemba kwa Zito kabwe.
Leo hii Lipumba kaipotezea CUF mvuto moja kwa moja. Hata mkutano wa leo atadhihisha ni kwa jinsi gani kaipotezea mvuto CUF. Zito naye asije akakosea akawapandishia kibezi Wapemba, atajua hajui.
18:00 imeshapita hiyo hakuna ki picha wala rejea ya ki online TV.
Si chawa wala chawa mbatata kasema nini kimejiri Magomeni.
Kulikoni Jilala, Country , Mtambuka, joni imekuwa je wajomba?