Liquid Pub.Is it for real au kiki?

Namwelewa sanaaaaa uyo mdau
Konki [emoji91]
 
Bar iliyopo karibu na mbuza za TIA,Diplomasia
Mmmh hiyo sio liquid..liquid ipo chang'ombe pale kona ya kwenda tandika..hiyo ya tia sio liquid..liquid nyingine ilikua kigamboni sema ilifumgwa...kama unataka kuona clip zote za piers check na instaya dullsykes Wote ni makupe pale liquid..!!
 
Mmmh hiyo sio liquid..liquid ipo chang'ombe pale kona ya kwenda tandika..hiyo ya tia sio liquid..liquid nyingine ilikua kigamboni sema ilifumgwa...kama unataka kuona clip zote za piers check na instaya dullsykes Wote ni makupe pale liquid..!!

Mkuu ile iliyopo kwenye mataa ya uhasibu barabara ya kilwa road na Mandela ina itwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…