jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
...na hizo hela za kunywea 24 hrs bila kufanyakazi anazipataje mkuuMasaa 24 anakunywa na kazi anafanya saa ngapi mkuu? au ni mtu wa vibomu tu?
Hela anazitoa wapiJamaa anawekeza kwenye pombe,na wanawake wanamchuna kisawasawa.
Si umeambiwa ni fundi milango mkuu.Hela anazitoa wapi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hao wanaitwa ndege wa angani hawalimi ila wanakula na kunywa.
Mwacheni Piere anywe bieeere.
Fundi milango[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]Si umeambiwa ni fundi milango mkuu.
Mmmh hiyo sio liquid..liquid ipo chang'ombe pale kona ya kwenda tandika..hiyo ya tia sio liquid..liquid nyingine ilikua kigamboni sema ilifumgwa...kama unataka kuona clip zote za piers check na instaya dullsykes Wote ni makupe pale liquid..!!Bar iliyopo karibu na mbuza za TIA,Diplomasia
Mmmh hiyo sio liquid..liquid ipo chang'ombe pale kona ya kwenda tandika..hiyo ya tia sio liquid..liquid nyingine ilikua kigamboni sema ilifumgwa...kama unataka kuona clip zote za piers check na instaya dullsykes Wote ni makupe pale liquid..!!
Hiyo sijaona kaka ngoja niicheki..Anajulikana kwa jina gani?
Nimecheka kweliSi umeambiwa ni fundi milango mkuu.
Alikua amelewaAlijirusha akavunjika mguu kwa sababu gani?