Kwani " kwa macheni palikuwa na uzuri gani !!?Baa yenyewe ya kawaida tu
Bora kwa macheni unapata mashoga na madada poaKwani " kwa macheni palikuwa na uzuri gani !!?
Hahaa ..sasa hivi haipo aiseeBora kwa macheni unapata mashoga na madada poa
Hapo liquid ivi vitu havipo kabisa
Mmmh hiyo sio liquid..liquid ipo chang'ombe pale kona ya kwenda tandika..hiyo ya tia sio liquid..liquid nyingine ilikua kigamboni sema ilifumgwa...kama unataka kuona clip zote za piers check na instaya dullsykes Wote ni makupe pale liquid..!!
Keshavunjika mguu... Antenna bila kinga'amuzi.... Injury mwaka nzima[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna picha na video za mlevi mmoja zina trend sana kwenye social networks..
Videos zina mchora jamaa kama mlevi ambae akikosa pombe anaugua.
Jamaa mwenyewe ndio huyo hapo pichani
Is it for real au ni kiki?
Na huyu jamaa mlevi ndivyo alivyo in real life au ana act?
Kama ni kiki basi big up sana kwa marketing manager wa Liquid Pub
liquid mwanzo walikua keko temeke now wamehama wapo kurasini maeneo karibu na chuo cha T.I.A ila pale kidgo pakubwa tofauti na walipokua mwanzo ila tu wanapokea customer wengi sana ila sio kwamba ni padgoLiquid inapigwa sana promo ila kiuhalisia wana eneo dogo na baadhi ya siku parking kwa wenye magari inakuwa usumbufu.
Dah nnasiku tele sijaenda kule basi nashukuru..Mkuu usingembishia mdau,ungefanya utafiti kwanza halafu ndo umpinge.
kwa kifupi Liquid ya Kigamboni na Liquid ya Chang'ombe mmiliki ni mmoja.
Ya kigamboni imeshafungwa..Iliyokuwa apo maduka mawili unaposema wewe imeshahamishwa baada ya watu wanaoishi ameneo hayo kulalamika makelele...Sasa hivi ameihamishia Uhasibu karibu na Chuo cha TIA.
Aaiii mama Nakufaa konki faya,konki liquid,Pierre 120 pierre atabaki kuwa juu juu mbinguni aaiiii chuchu babyππππππKuna picha na video za mlevi mmoja zina trend sana kwenye social networks..
Videos zina mchora jamaa kama mlevi ambae akikosa pombe anaugua.
Jamaa mwenyewe ndio huyo hapo pichani
Is it for real au ni kiki?
Na huyu jamaa mlevi ndivyo alivyo in real life au ana act?
Kama ni kiki basi big up sana kwa marketing manager wa Liquid Pub
Kaka mi nimekuelewa sana,hii promo umeileta kiufundi sanaππKuna picha na video za mlevi mmoja zina trend sana kwenye social networks..
Videos zina mchora jamaa kama mlevi ambae akikosa pombe anaugua.
Jamaa mwenyewe ndio huyo hapo pichani
Is it for real au ni kiki?
Na huyu jamaa mlevi ndivyo alivyo in real life au ana act?
Kama ni kiki basi big up sana kwa marketing manager wa Liquid Pub
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee vinaendana kama huyu na yuleDu kwamba liquid pub is Likud pub?
hahahahaha....Du kwamba liquid pub is Likud pub?
Mbali sana kutoka tia, ipo karibu kilwa road police post au karibu pia na jitegemee secHyo ni mlevii yupo hvyo kweli anakunywa masaa 24 nyumban huwa anaenda kubadili nguo tu...hyo bar ipo kurasini karibu na chuo cha tia