Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Me wa kwangu ananishangaza sana huyu pc kali.
Ana miezi nane kasoro uji hataki na maziwa yangombe ataki
Anapenda ugali na mchuzi wa maharagwe au mboga yoyote yenye mchuzi mchuzi.
Kuna siku alinichekesha sana mke alinunua vichwa na miguu ya kuku ya kukaangwa.basi nikachukua mguu wa kuku nikampa alihangaika nao wewee ukidondoka au ukimnyanganya anamwaga kilio kama kafinywa shavu
 
Nyo nyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…