Uchaguzi 2020 Lissu aahidi kufumua madudu ya Magufuli

Hapana. Na Lissu ndiye mwenye rekodi dhidi ya ubeberu wa kunyonya wanyonge kupitia kupitia migodi. Rejea harakati zake na maandiko yake toka miaka ya 90. Sisi akina fulani tunataja ubeberu kama fasheni tu.
Mbona tulipo leta hiyomikataba mibovu, huko bungenii kwa ajiri ya marekebisho lisu alitusaliti na kutetea mabeberu tena aka akasema kwa sautii kuu akiwtisha watanzania eti tukigusa mikataba ya madinii tutanyolewa nywelee bila majiii. Kama aliandika vitabu vinguu juu ya unyonyaji wa madini, alishindwa nini kuuungana na wazalendo ilikujadili kipi kifanyike juuu ya kupigania mali zetuu??
 
Too good to be true,

Hakuna nchi ya aina hiyo duniani.

Huu ni utapeli mchana kweupe.

Ni bora ushindwe kufikia lengo kuliko kulenga kunyamazisha watanzania na kuwatisha hadi kwenye kampeni mtu anasema kabisa kama hatachaguliwa hatapeleka maendeleo hivi huyo si anatakiwa kuenguliwa kwenye ugombea
 
Hii unaitaka wewe uliyefukuzwa kazi kwa cheti feki, sio wotee. Sisi tunasema hatuko tayaliii kurudisha mkoloni tenaa. Sisi tunaitaka Tanzania iliyohuru kiuchumii.
Kweli... Hawa wakoloni weusi ccm tumewachoka, tunawapumzisha rasmi 28/10/2020
 
Vyombo vya usalama vinafanyakazi kwa weledi wa hali ya juu katika kampeni zinazoendelea bila kujali Chama cha siasa chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli, Lissu mwenyewe karidhia ukitangulia kuliona jua na ukakubali kufungua macho yako utakuwa msaada kwa kila Mmoja ambaye kafuata nyuma yako kuliona jua, Hamna mtanzania mzalendo anayeshindwa kung'amua kiongozi sahihi kati ya JPM na TAL.
 
Pumbavu kwelikweli.Utadhani atachaguliwa kweli.
Mkuu uko Dunia ipi?? Unajua hivi sasa ccm ina hali gani au uko huku mitandaoni huoni hali halisi?? Unafahamu Jiwe kakatiza kampeni zake? Je sababu unafahamu?

Siasa hazilazimishwi kwa mtutu wa bunduki wala lugha za vitisho. Bali kwa lugha nyepesi ktk ushawishi wa kisera.
 
Acheni kulinganisha lissu na vitu vya ajahu ajabu. Kilicho baki ji kuiba kura.. hata mkishinda cha moto mmekipata.
Mtavuna porojo zenu Oct 28.Watu wajinga pekee ndio watakao piga kura kwa Lissu. Watanzania tuna macho ya kuona na masikio ya kusikia.Magufuli kafanya kazi kubwa mno, ambayo hata robo yake saccos yenu isingeweza.
 
Miaka 5 tu kajenga mahoteli na uwanja wa ndege kijijini kwake akipewa 10 si atahamishia hazina yetu kwao. Mtu msafi aogopi demokrasia, mtu msafi uweka Mambo wazi, why Siri juu ya mikataba ya miradi kwa Kodi zetu. Sisi tulipe Kodi wao kazi yao Ni kuzitafuna tumekuwa vibarua wao.
 
Kweli... Hawa wakoloni weusi ccm tumewachoka, tunawapumzisha rasmi 28/10/2020
Toka lini mtu mweusi akawamkolonii?? Soma historian zotee. Sisi tunajua tunaekwenda kumgalagaza October , siio nyie chadema, sisi tutakaye mgalagaza October ni beberu lililoko nyuma yenuu.
 
Toka lini mtu mweusi akawamkolonii?? Soma historian zotee. Sisi tunajua tunaekwenda kumgalagaza October , siio nyie chadema, sisi tutakaye mgalagaza October ni beberu lililoko nyuma yenuu.
Mkuu usijihangaishe nao wamejaa mitandaoni kupeana moyo wanadhani kushinda uchaguzi ni kazi rahisi. Hawataamini kitakachowakuta mwezi ujao. Uzuri siku zinaenda fasta. November 1 wote humu watakuwa wamenywea.
 
Mkuu usijihangaishe nao wamejaa mitandaoni kupeana moyo wanadhani kushinda uchaguzi ni kazi rahisi. Hawataamini kitakachowakuta mwezi ujao. Uzuri siku zinaenda fasta. November 1 wote humu watakuwa wamenywea.
Hata lisu mbona analifaham saaanaa.
 
Kazi kupora tu ardhi za wanyonge maccm ni hatari Sana kwa maendeleo ya watanzania
 
A
Huyo jamaa yenu siyo intelligent man, anasahau kama kuna kesho pia, muache aendelee kulikoroga baada ya oktoba 28 ndiyo ataijua CCM
Amelikoroga wapi? Mimi ni mwana CCM lakini akili yangu haijafungiwa Kwenye box. Huyu jamaa ana hoja, tujikite kujibu hoja zake. Mimi nimeshindwa kuzipangua maana kila anachozungumza kina akisi hali halisi iliyopo.
 
Toka lini mtu mweusi akawamkolonii?? Soma historian zotee. Sisi tunajua tunaekwenda kumgalagaza October , siio nyie chadema, sisi tutakaye mgalagaza October ni beberu lililoko nyuma yenuu.
Ukoloni siyo rangi, bali ni utawala haramu wa kimabavu unaotekelezwa na kikundu Cha wachache kwa hila, kinyume na matakwa ya wananchi/watawaliwa
 
Kumwelewa Lisu ni lazima uwe na akili.

Kama mtu hujui umuhimu wa sheria katika maebdeleo, ni dhahiri una kasoro kichwani.

Nimekuwepo kwenye taasisi za kimataifa tukifanya ranking ya mataifa yote Duniani kwenye favorability ya investment environment. Item ya kwanza ni mfumo wa sheria wa nchi husika, pili ni mfumo wa kodi wa nchi husika, baada ya hapo ndiyo vinafuata vitu vingine.

Nchi yenye mfumo mbaya wa sheria na/au mfumo mbaya wa kodi, huua na hufukuza uwekezaji. Na bila uwekezaji hakuna maendeleo.

Mfano dhahiri ni huu wa Taifa letu. Kutokana na sheria nyingi mbaya na mfumo wa mahakama tegemezi, na mfumo mbaya wa kodi, kufuatia mabadiliko mbalimbali yaliyofanywa awamu hii, ukuaji wa uwekezaji wa nchi yetu umeanguka toka 28% mpaka 4%. Na hiyo ndiyo sababu inayomfanya Magufuli asiongelee kabisa juu ya uchumi wa viwanda. Kwenye uwekezaji, awamu hii imeanguka vibaya mno. Na uwekezaji ni mama ya maendeleo. Uwekezaji ndio hutrngeneza ajira, uwekezaji hukuza technolojia, uwekezaji huhuisha mzunguko wa fedha, uwekezaji huongeza makusanyo halisi ya serikali, n.k. Awamu hii imeshindwa vibaya kwenye uwekezaji, na kusababisha kushindwa katika mambo mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…