Uchaguzi 2020 Lissu aahidi kufumua madudu ya Magufuli

Haya ndiyo tunayoyataka Watanzania siyo kunyanyaswa, kudhalilishwa, kubambikiwa kesi etc utadhani tuko Afrika Kusini ya MAKABURU.
Watanzania wengi wameumizwa ndani ya nchi yao kuliko Makaburu walivyowaumiza watu wa Afrika Kusini ya kipindi kile cha Apatheid Rule.Inasikitisha sana kwa watawala wetu kuamua kuteka,kutesa,kuua,kubambikia kesi na kuwafilisi raia wenzao ndani ya nchi huru.Mambo haya yanatakiwa kukomeshwa mara moja.
Watanzania Twendeni na Mh.Lissu uchaguzi huu ili tuitengeneze upya mifumo yetu ya Utawala kwa kuandika Katiba mpya mara baada ya Uchaguzi Mkuu 2020 kuanzia pale ilipokomea Tume ya Mbadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba.Hilo tu ndiyo dawa ya kutibia vidonda vyote vilivyosababishwa na tawala zilizotangulia.Wakati ni Sasa!
 
Huyo jamaa yenu siyo intelligent man, anasahau kama kuna kesho pia, muache aendelee kulikoroga baada ya oktoba 28 ndiyo ataijua CCM
Mkuu kwa nini unaamini ni lazima ccm iendelee kuitawala Tanzania?
 
Kama huu ndo ufahamu wako, ni halali kumshabikia Lissu. Uwekezaji una maana gani? Watu kutoka nje kuja kuweka ivestments? Kama ni hivyo nchi ipi duniani iliwahi kuendelea kwa uwekezaji wa aina hiyo? Eti unaamini uwekezaji unakuza teknolojia, unajua maana ya teknolojia au uko chuoni bado unajifunza? Naomba ukomae na shule, boss! Maneno kama sheria nyingi; Nyingi ni namba ipi dunia hii? Mabadiliko mbalimbali; mbalimbali ni mangapi?
Pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…