Nimemsikia Lissu akinukuu maneno ya Hayati Mwalimu Nyerere aliposema kuwa CCM siyo Mama yake wakati wowote anaweza kuondoka vile vile Lissu naye kasema kuwa CHADEMA SIYO mama yake.
Maneno haya Lissu ni mazito sana. Nadhani kuna tatizo ndani ya CHADEMA na hili linatakiwa lipatiwe ufumbuzi.
Kama kweli kuwarudisha COVID 19 ambao walikisaliti Chama naungana na Lissu kwa asilimia 100 wasirudishwe kwenye Chama hao tayari walikwishafukuzwa.
Hapo hakuna mjadala na kama wanawatetea namuunga Lissu aachane na CHADEMA.
Kama Lissu atahama CHADEMA basi atahama na karibu asilimia 90 ya wananachama. Ngoja tusubiri wakati ukuta.
Maneno haya Lissu ni mazito sana. Nadhani kuna tatizo ndani ya CHADEMA na hili linatakiwa lipatiwe ufumbuzi.
Kama kweli kuwarudisha COVID 19 ambao walikisaliti Chama naungana na Lissu kwa asilimia 100 wasirudishwe kwenye Chama hao tayari walikwishafukuzwa.
Hapo hakuna mjadala na kama wanawatetea namuunga Lissu aachane na CHADEMA.
Kama Lissu atahama CHADEMA basi atahama na karibu asilimia 90 ya wananachama. Ngoja tusubiri wakati ukuta.