Lissu akimjibu Wenje na kusema yote hata yale ambayo alikuwa hataki kusema mtamuita mropokaji? Tukumbule Lissu alikuwa nje ya nchi wakati huo

Lissu akimjibu Wenje na kusema yote hata yale ambayo alikuwa hataki kusema mtamuita mropokaji? Tukumbule Lissu alikuwa nje ya nchi wakati huo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hili ndio swali langu kwa timu Mbowe na vibarqka wengine plus MA-CCM wote wanaotaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Lema na Lissu, mjue Mbowe sio wa kumsitiri tena kwa lolote. Yuko kimya ila msifikiri Wenje yuko peke yake. Huyu katumwa.

Wameona wana hali mbaya sasa wameona waibue tuhuma ili mchafuke na lengo ni kuhakikisha Lissu jina lake linachafuka.

Jiulizeni, siku zote walikuwa wapi wakati hizi tuhuma za kutaka kumpindua Mbowe ni nzito kiasi hiki?

Kwanza hizi tuhuma hata haziingi akilini na bila shaka huu uzushi ni kazi ya watu wa propaganda kutoka chama cha mboga mboga.

NB: Usilete ugomvi wa mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo.
 
Ili tujue lema na lissu ni wasafi watueleze kwanini walimsafisha lowassa na alitoa shs ngapi kuinunua chadema na yeye lisu alikuwa kinara wa kumchafua lowassa kuwa ni mla rushwa na kwanini 2015 ajenda ya rushwa ilizikwa rasmi na kuondoa list of shame kwenye tovuti ya chadema!
 
Ili tujue lema na lissu ni wasafi watueleze kwanini walimsafisha lowassa na alitoa shs ngapi kuinunua chadema na yeye lisu alikuwa kinara wa kumchafua lowassa kuwa ni mla rushwa na kwanini 2015 ajenda ya rushwa ilizikwa rasmi na kuondoa list of shame kwenye tovuti ya chadema!
empty set, aka vacuum.

shoe-wine!
 
Ili tujue lema na lissu ni wasafi watueleze kwanini walimsafisha lowassa na alitoa shs ngapi kuinunua chadema na yeye lisu alikuwa kinara wa kumchafua lowassa kuwa ni mla rushwa na kwanini 2015 ajenda ya rushwa ilizikwa rasmi na kuondoa list of shame kwenye tovuti ya chadema!
Nyie CCM mlikouwa mnassma Mbowe astaafu halafu leo mnataka aendelee kuwa Mwenyekiti, nani atawaamini watu kama nyie?
 
Nyie CCM mlikouwa mnassma Mbowe astaafu halafu leo mnataka aendelee kuwa Mwenyekiti, nani atawaamini watu kama nyie?
Kabla hamjashika mamlaka tuhuma kibao zinawaandama rushwa ufisadi ulevi na uzinzi nani atawaamini!Ccm imeaminiwa ndio maana ipo madarakani!
 
Back
Top Bottom