Lissu akiri kushiriki kuondoa ukomo wa Uongozi katika Katiba ya CHADEMA

Lissu akiri kushiriki kuondoa ukomo wa Uongozi katika Katiba ya CHADEMA

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Hoja zimejibiwa kwa weledi kabisa😂😁
 

Attachments

  • 20241228_230820.jpg
    20241228_230820.jpg
    97.4 KB · Views: 2
Ilikuwa hivyo na ilipaswa kuwa hivyo kwa nyakati hizo, lkn kwa sasa kuna umuhimu wa ukomo wa madaraka kurejeshwa. Hiki ndicho mbangaizaji ameshauri.

Hii tabia ya ccm na machawa wao kukumbatia the past ndiyo inaligharimu taifa. Siasa inapaswa kwenda na wakati.
 
Back
Top Bottom