Lissu akiri kushiriki kuondoa ukomo wa Uongozi katika Katiba ya CHADEMA

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Hoja zimejibiwa kwa weledi kabisa😂😁
 
Ilikuwa hivyo na ilipaswa kuwa hivyo kwa nyakati hizo, lkn kwa sasa kuna umuhimu wa ukomo wa madaraka kurejeshwa. Hiki ndicho mbangaizaji ameshauri.

Hii tabia ya ccm na machawa wao kukumbatia the past ndiyo inaligharimu taifa. Siasa inapaswa kwenda na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…