zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
... first and foremost CCM ifutwe halafu mengine yaendelee.
.... kama kuna mtu atadhihakiwa huko Lumumba kuliko mtu mwingine yeyote ni yeye! Believe me; muda huu wanaimba sifa zake kwa sababu kwa namna moja au nyingine wanafaidika na uwepo wake but; after his departure loooh!Kesho utawaona wanamsifia Lissu, subiri na huyu mungu mtu amalize utumishi wake uone kama kuna mtu atamkumbuka
CCM wamechokwa sasa tutaanza kuona vigogo wa ccm wakikimbia, wanasubiri tu nani amfunge paka kengele.Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Haitakua kitu kwakua hawezi kushindaNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Lissu ni kiongozi bora anajua kila mtu ana uhuru wa kuchagua upande aupendaye, hawezi kuwatenga wala kuwabughuzi
... first and foremost CCM ifutwe halafu mengine yaendelee.
Kuna watakaokwenda baraza la sanaa na kuzikataa nyimbo zao!Kesho utawaona wanamsifia Lissu, subiri na huyu mungu mtu amalize utumishi wake uone kama kuna mtu atamkumbuka
KabisaKuna watakaokwenda baraza la sanaa na kuzikataa nyimbo zao!
ikitokea na kama wengi tunavyotarajia basi hakuna namna wanashauriwa tu kunnywa maji ya kutoasha ili kupanua moyo na maisha yanaendeleaNawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.