LIssu alikuwa kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Mazingira (LEAT), kimekufa baada ya Lissu na Nshala kufanya ubadhirifu, ndio apewe CHADEMA?

LIssu alikuwa kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Mazingira (LEAT), kimekufa baada ya Lissu na Nshala kufanya ubadhirifu, ndio apewe CHADEMA?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Nyanza ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Hii pia imebuma, vp mmeshampitisha au ndio mnakusanyika kijani kibichi kupiga vigelegele
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!

Hapa ndo huwa nawaheshimu sana nyie Wanawake. Hii hali yako hata Mke wangu alipokuwa na Mimba yangu alikuwa kama wewe. Alinisema vibaya, alihangaika na mimi kunisema kwa watu. Alinichukia sana. Utadhani nlikuwa nimebaka. Alipojifungua yote yakaisha. So nakuelewa kinembe utakuwa vizuri tu kwa sasa vumilia.
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Mwaka 2020 mlimteua agombee urais wa Tanzania hamkujua kama ni mbadhirifu? Chadema ni kubwa kuliko Tanzania?!!
Hizi siasa za kipumbavu ndizo zimesababisha wananchi wawe wanasusia chaguzi
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Lete katiba ya LEAT hapa tuijadili angalau hata business plan, hakuna taasisi inayo anzishwa bila malengo, kwa maana unaijua kwa undani
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Hata haiji ,
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Wacha weee! Mmekosa hoja kiasi hicho? Chafuaneni kadiri muwezavyo lakini mjue kuwa This time MBOWE must go!
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Mnazidi kujidhalilisha tu wajumbe wameshafanya maamuzi sahihi kuiokoa Chadema kutoka mikononi mwa Sultan Mbowe.
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Mkuu wakati anapewa nafasi ya kugombea urais hilo hawakuliona??

Wakati anachaguliwa urais wa TLS hilo hawakuliona??

Mkuu punguza uongo!!
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Bado hamjasema hadi mseme.
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Kwa huyu Lissu, mwaka huu maji mtaita mma
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Wenyewe mnasema kuwa kumbe Lisu ni fisadi alafu kipindi Cha uchaguzi mtataka watanzania wampigie kura

Sio Lisu tu CHADEMA yote imejaa mafisadi
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Mbowe ameshachokwa.
Mnapoteza muda tu kwa hivi viroja vyenu.
 
Wenyewe mnasema kuwa kumbe Lisu ni fisadi alafu kipindi Cha uchaguzi mtataka watanzania wampigie kura

Sio Lisu tu CHADEMA yote imejaa mafisadi
Mnaweseseka sana, tulieni muive vizuri kwani hata maharage hurukaruka sana ili yaive.
Lisu ndiye mwenyekiti
 
Back
Top Bottom