Lissu alimkemea Magufuli na Mkapa ambao ni wakatoliki wenzie, huo udini anaopakaziwa sasa unatoka wapi?

Lissu alimkemea Magufuli na Mkapa ambao ni wakatoliki wenzie, huo udini anaopakaziwa sasa unatoka wapi?

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Watu wakiishiwa hoja, husingizia jinsia ama dini!

Lissu sifahamu kama ni Mkristo ama dini gani. Ninachojua Tundu Lissu kwake suala la dini, ni la mtu na Mungu wake na siyo Tanzania inajisiwe na mtu awaye yote kwa sababu ya dini yake

Inapotokea kiongozi yeyote anakuwa kinyume na sheria za nchi, haijalishi ni muumini wa dini gani, kwa Tundu lissu, lazima ubaya wa mtu huyo utaanikwa tu.

Amewaanika viongozi wa dini ya Kikristo na ataendelea kuwaanika na wengine pia.

Ieleweke hivi, watanzania tunapaswa tuwe na mtazamo wa kama Tundu Lissu, viongozi wanapovunja katiba bila kujali wanatoka dini gani, tusimame kwa pamoja kukemea uovu huo. Kwa kufanya hivyo tutakuwa tumeondokana na hili la mtu anaposemwa eti inakuwa anasemwa kwa sababu ya dini yake.

Tukifanya hivyo tutafika mbali sana.
 
Watu wakiishiwa hoja, husingizia jinsia ama dini!

Lisu sifahamu kama ni Mkristo ama Dini gani!

Ninachojua, Tundu Lissu, kwake suala la dini, ni la mtu na Mungu wake na siyo Tanzania na dini!

Inapotokea kiongozi yeyote anakuwa kinyume na sheria za nchi, Haijalishi ni muumini wa dini gani, Kwa Tundu lisu, lazima ubaya wa mtu huyo utaanikwa tu,

Amewaanika viongozi wa dini ya Kikristo na ataendelea kuwaanika na wengine pia

Ieleweke hivi, watanzania tunapaswa tuwe na mtazamo wa kama Mh Tundu lissu, viongozi wanapovunja katiba, bila kujali wanatoka dini gani, tusimame kwa pamoja kukemea uovu huo, kwa kufanya hivyo, tutakuwa tumeondokana na hili la mtu anaposemwa, eti inakuwa anasemwa kwa sababu ya dini yake

Tukifanya hivyo, tutafika mbaali sana
Faizafoxy anakuja na ufafanuzi!!
 
Watu wakiishiwa hoja, husingizia jinsia ama dini!

Lisu sifahamu kama ni Mkristo ama Dini gani!

Ninachojua, Tundu Lissu, kwake suala la dini, ni la mtu na Mungu wake na siyo Tanzania na dini!

Inapotokea kiongozi yeyote anakuwa kinyume na sheria za nchi, Haijalishi ni muumini wa dini gani, Kwa Tundu lisu, lazima ubaya wa mtu huyo utaanikwa tu,

Amewaanika viongozi wa dini ya Kikristo na ataendelea kuwaanika na wengine pia

Ieleweke hivi, watanzania tunapaswa tuwe na mtazamo wa kama Mh Tundu lissu, viongozi wanapovunja katiba, bila kujali wanatoka dini gani, tusimame kwa pamoja kukemea uovu huo, kwa kufanya hivyo, tutakuwa tumeondokana na hili la mtu anaposemwa, eti inakuwa anasemwa kwa sababu ya dini yake

Tukifanya hivyo, tutafika mbaali sana
Lissu ni Mkrisro Mkatoliki.
 
Dr Slaa alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwamakula alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwanakijiji alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Pengo alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Tibaijuka alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?...

Kuna askofu aliewahi panda jukwaani kukosoa serikali wakati wa Magufuli mkatoliki mwenzao?...



Hawa wote walikuwa wapi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele chake?...
Wakati Uhuru wa vyombo vya habari unaminywa na watu wanashitakiwa Kwa kumkosoa rais?

Walikuwa wapi wakati watu wanapigwa risasi na kutekwa??
 
Dr Slaa alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwamakula alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwanakijiji alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Pengo alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Tibaijuka alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?...

Kuna askofu aliewahi panda jukwaani kukosoa serikali wakati wa Magufuli mkatoliki mwenzao?...



Hawa wote walikuwa wapi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele chake?...
Wakati Uhuru wa vyombo vya habari unaminywa na watu wanashitakiwa Kwa kumkosoa rais?

Walikuwa wapi wakati watu wanapigwa risasi na kutekwa??
Magufuli alikosolewa sana na maaskofu labda wakati huo ulikuwa umesinzia baada ya kushiba mchemsho wa nguruwe
FB_IMG_1690164586210.jpg
 
agenda iliyopo ni islamization the whole world, na wanaicheza hii kete kwa umakini mkubwa sana
Hakuna kucheza kwa umakini wala nini.
Nani wa kucheza kwa umakini?
Hapa Rufiji nilipo kila kitu kipo wazi kama uch. wa kuku uvumapo upepo.
 
Dr Slaa alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwamakula alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwanakijiji alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Pengo alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Tibaijuka alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?...

Kuna askofu aliewahi panda jukwaani kukosoa serikali wakati wa Magufuli mkatoliki mwenzao?...



Hawa wote walikuwa wapi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele chake?...
Wakati Uhuru wa vyombo vya habari unaminywa na watu wanashitakiwa Kwa kumkosoa rais?

Walikuwa wapi wakati watu wanapigwa risasi na kutekwa??
Wakati maaskofu wanatoa waraka ulikua wapi? si ulikua humu humu ndani?au ndo muendelezo wa kujitoa akili?
 
Dr Slaa alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwamakula alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Mwanakijiji alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Pengo alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?

Tibaijuka alimkosoa Magufuli mkatoliki mwenzie?...

Kuna askofu aliewahi panda jukwaani kukosoa serikali wakati wa Magufuli mkatoliki mwenzao?...



Hawa wote walikuwa wapi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele chake?...
Wakati Uhuru wa vyombo vya habari unaminywa na watu wanashitakiwa Kwa kumkosoa rais?

Walikuwa wapi wakati watu wanapigwa risasi na kutekwa??
Wewe ni ng'ombe



 
Na kwenye kampeni alikuwa bega kwa benga na Sheikh Ponda. Watu wakiishiwa hoja wanaaingiza udini bila kujali athari zake hata kidogo.
Tuseme ukweli kabisa! Ingawa kwa sasa sijasikia tamko lolote kutoka kwa Shekhe Ponda, ila huyo jamaa huwa ana balance mambo linapokuja suala la kiongozi kupungua mahali, huwa hajizuii

Sjui kwa sasa
 
Back
Top Bottom