Lissu alipaswa kuwajibika, ajabu anachangisha anunuliwe gari

Lissu alipaswa kuwajibika, ajabu anachangisha anunuliwe gari

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Uzi mwingine kuhusu Lisu na cdm utaweka saa ngapi tena tuangalie?
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Lissu alibaniwa mrija wa pesa na Mbowe ndio maana akaharibu utaratibu wa chama chake,hapaswi kuaminiwa kabisa bwana lissu ni mtu mbaya.
 
Akili za wafuasi wa CDM zinawatosha wenyewe. ACT wazalendo chama kipya kina magari ya chama ya kuwapa viongozi wake kuzunguka. Halafu chama chenye miaka karibu 30 hakina gari ya kumpa makamu mwenyekiti wake.

CDM kwa miaka wamekuwa wakipewa misaada ya ki fedha na donors, wakipokea ruzuku, wakichangisha wabunge wao, wakipokea michango ya wanachama na walipewa 4x4 si chini ya 20 kwenye movement yao ya M4C gari ambazo leo zisingekuwa na miaka 10. Wakati makamu mwenyekiti wao anatembelea gari nzee kushinda za M4C, yale magari yapo wapi.

Ni watu wasiojitambua tu ndio wanachangia hawa matapeli yaani ‘Ado Shaibu’ ana gari ya chama ya kufanyia mikutano, Lissu hana; halafu kuna watu wanachangia kabisa.
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Nenda akakuoe mke wake yupo uberigiji
 
Huwa sioni utofauti wa CCM na CDM labda rangi za vvyama vyao tu!
Wote wezi kama wezi wengine.

Wanalindana chadema wapotayali kupokea mwizi kutoka CCM na kinyume chake ni sahihi
 
Kama unaona ni rahisi kuchangiwa omba na wewe michango tukuchangie
kuna ugumu gani kutengeneza imotional scripts, ukaatract sympathy ya wananchi na ukahurumiwa na ukaomba kuchangiwa kama alivyofanya puppet?🐒
 
Akili za wafuasi wa CDM zinawatosha wenyewe. ACT wazalendo chama kipya kina magari ya chama ya kuwapa viongozi wake kuzunguka. Halafu chama chenye miaka karibu 30 hakina gari ya kumpa makamu mwenyekiti wake.

CDM kwa miaka wamekuwa wakipewa misaada ya ki fedha na donors, wakipokea ruzuku, wakichangisha wabunge wao, wakipokea michango ya wanachama na walipewa 4x4 si chini ya 20 kwenye movement yao ya M4C gari ambazo leo zisingekuwa na miaka 10. Wakati makamu mwenyekiti wao anatembelea gari nzee kushinda za M4C, yale magari yapo wapi.

Ni watu wasiojitambua tu ndio wanachangia hawa matapeli yaani ‘Ado Shaibu’ ana gari ya chama ya kufanyia mikutano, Lissu hana; halafu kuna watu wanachangia kabisa.
kwenye pesa hao jamaa ni zaidi ya mchwa au panya, huwa hawajivungi wala kuona haya kuzitafuna bila kujali kesho itakuaje 🐒
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
CCM ni chama Cha hovyo, ila chadema na vyama vingine vya uponzani ni vyama vya hovyo zaidi.
 
Kinachonifurahisha Ni kwamba CCM wanafuatilia kwa karibu Sana Mambo ya chadema. Sijui Ni ule utabiri wa sheikh Yahya?
kimbembe kitakua kwenye mafuta ya hiyo gari ambayo chairman haitambui kama ni gari ya chama au mtu binafsi 🐒

lazima kipasuke au apasuke mtu wakati muafaka 🐒
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Tukuchangie sasa dera
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.

Badala ya kuleta habari, wewe unaleta hadithi JF!! Siku zote hizi mmeshindwa kujifunza hata kutoka kwa wengine?

Haya, tuambie ni mgombea yupi alituhumiwa kwa rushwa halafu amepitishwa kugombea.

Yumkini wewe utakuwa ama miongoni mwa wale machawa ya CCM, maana huko ndiko walikojazana watu wenye upeo mdogo wa kujenga hoja. Ni vema hata mngekuwa mnafundishana namna ya kuleta mada na namna ya kujenga hoja, kuleta hadithi yako uliyoitengeneza, halafu unataka watu wajadili!!

Halafu leta uthibitisho kuwa Lisu ameomba achangiwe kununuliwa gari. Najua huna huo uthibitisho kwa sababu hajawahi kuomba ila baadhi ya watu wanaotambua mchango wa Lisu katika nchi hii ndio waliolianzisha hilo wazo.

Halafu ni mchango wa hiari. Au wewe umefuatwa ili uchangie kama inavyofanyika ile michango ya mwenge? Mchango wa hiari, kama hutaki au huna cha kuchangia, inakuhusu nini?

Tunashukuru kwa kutukumbusha kuhusiana na huo mchango, ngoja nami nimchangie shujaa huyu wa kutetea haki na kuwaelimisha waliolala. Sadaka yake kwa ustawi wa nchi hii ni kubwa mno huwezi kulinganisha na michango ya kumnunulia gari
 
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.

As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Hii mbona ilishachuja? Tuwekee ushahidi wa Lissu kuomba gari toka kwa Samia. Pili weka uswahidi wa Lissu kuomba anunuliwe gari na Chadema. Vinginevyo mnazidi kujidhalilisha kwa kuandika habari za uzushi hii ni dalili ya kufilisika kifikra. Haya yote yana kuja baada ya CCM wote kushindwa kujibu hoja za Lissu juu ya kero za muungano hasa kuhusu muundo ndiyo sasa vikaragosi mumetumwa kumshambulia binafsi. Poor CCM !!!!
 
Tutac
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu

REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?

Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.

Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
1p1
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Tutachanga tu hata mtuite nyumbu. Kuliko kumnunulia v8 mkuu wa wilaya mwizi wa KURA za ccm bora kumchangia LISU
VIIIIIVA LISU VIIVA
 
Back
Top Bottom