Uzi mwingine kuhusu Lisu na cdm utaweka saa ngapi tena tuangalie?Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Naomba unitolee nami shukrani zangu kwa niaba mkuu.Nipo maporini huku natafuta mabaki ya ndugu zetu walioanguka na "hedikopta"!😎Ahsante kwa Taarifa mkuu
Lissu alibaniwa mrija wa pesa na Mbowe ndio maana akaharibu utaratibu wa chama chake,hapaswi kuaminiwa kabisa bwana lissu ni mtu mbaya.Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Nenda akakuoe mke wake yupo uberigijiChadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
kuna ugumu gani kutengeneza imotional scripts, ukaatract sympathy ya wananchi na ukahurumiwa na ukaomba kuchangiwa kama alivyofanya puppet?🐒Kama unaona ni rahisi kuchangiwa omba na wewe michango tukuchangie
kwenye pesa hao jamaa ni zaidi ya mchwa au panya, huwa hawajivungi wala kuona haya kuzitafuna bila kujali kesho itakuaje 🐒Akili za wafuasi wa CDM zinawatosha wenyewe. ACT wazalendo chama kipya kina magari ya chama ya kuwapa viongozi wake kuzunguka. Halafu chama chenye miaka karibu 30 hakina gari ya kumpa makamu mwenyekiti wake.
CDM kwa miaka wamekuwa wakipewa misaada ya ki fedha na donors, wakipokea ruzuku, wakichangisha wabunge wao, wakipokea michango ya wanachama na walipewa 4x4 si chini ya 20 kwenye movement yao ya M4C gari ambazo leo zisingekuwa na miaka 10. Wakati makamu mwenyekiti wao anatembelea gari nzee kushinda za M4C, yale magari yapo wapi.
Ni watu wasiojitambua tu ndio wanachangia hawa matapeli yaani ‘Ado Shaibu’ ana gari ya chama ya kufanyia mikutano, Lissu hana; halafu kuna watu wanachangia kabisa.
CCM ni chama Cha hovyo, ila chadema na vyama vingine vya uponzani ni vyama vya hovyo zaidi.Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
kimbembe kitakua kwenye mafuta ya hiyo gari ambayo chairman haitambui kama ni gari ya chama au mtu binafsi 🐒Kinachonifurahisha Ni kwamba CCM wanafuatilia kwa karibu Sana Mambo ya chadema. Sijui Ni ule utabiri wa sheikh Yahya?
Tukuchangie sasa deraChadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Hii mbona ilishachuja? Tuwekee ushahidi wa Lissu kuomba gari toka kwa Samia. Pili weka uswahidi wa Lissu kuomba anunuliwe gari na Chadema. Vinginevyo mnazidi kujidhalilisha kwa kuandika habari za uzushi hii ni dalili ya kufilisika kifikra. Haya yote yana kuja baada ya CCM wote kushindwa kujibu hoja za Lissu juu ya kero za muungano hasa kuhusu muundo ndiyo sasa vikaragosi mumetumwa kumshambulia binafsi. Poor CCM !!!!Chadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.
Tutachanga tu hata mtuite nyumbu. Kuliko kumnunulia v8 mkuu wa wilaya mwizi wa KURA za ccm bora kumchangia LISUChadema imepitisha watuhumiwa wa Rushwa kuwa wagombea wa Uwenyekiti wa kanda kwa mujibu wa tuhuma za Makamu Mwenyekiti wao Tundu Lissu
REACTION ANAYETUHUMU WENGINE KWA RUSHWA ni kuomba anunuliwe gari.?
Kama Tundu Lissu ni msafi why he still associated with the worst criminals waliopokea fedha chafu?. Ndiyo maana tunaendelea kusema kwamba Lissu ni mlamba asali mwenye wivu.
Aliomba Nissan Y62 aliponyimwa amekichafua chama sasa wana drama za kukusanya shilingi kwa wananchi.
1p1
As longer as Mbowe ni Mwenyekiti, Lissu ataendelea kutaabika tu.