Lissu alipomsaliti Magufuli CHADEMA mlishangilia, zamu yenu sasa

Lissu alipomsaliti Magufuli CHADEMA mlishangilia, zamu yenu sasa

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Ukiambiwa dunia duara, au ukaambiwa malipo ni hapahapa duniani ukae uelewe na usibishe.

Wakati Tundu Lisu anasaliti harakati za rais wa awamu ya tano hayati Magufuli, Chadema walikenua meno na kushangilia.

Wakati Lisu anasaliti taifa na kushangilia kukamtwa kwa ndege ambazo zimenunuliwa kwa kodi za Watanzania, Chadema walikenua meno na kushangilia kwa nguvu!

Wahenga walishasema muda ni mwalimu mzuri sasa Tundu Lisu amerudi kusaliti na kuibomoa Chadema na Mbowe.

Freeman Mbowe sasa yuko tumbo joto baada ya Tundu Lisu kuzunguka nchi nzima akimnanga kuwa alipokea hela za Abdul na kuzisamabaza kama rushwa.
 
Panua kidogo wigo wa fikra zako, jifunze tabia za watu wakweli na wenye msimamo alafu utajua Lisu ni mtu wa namna gani.

Hakuna haja ya kuchukia ukweli, Chugiak wanaopindisha ukweli wenyewe.
 
Lissu mpaka.sasa hivi hajasaliti chochote kijana!

Hayo mambo ya nia yake kugombea uwenyekiti vikao vitaamua kama anafaa ama hafai hiyo ndiyo demokrasia hai ndani ya CDM, chama pekee kinachoruhusu kiongozi wa juu kabisa wa chama kuwa challenged.
 
Hivi mkitukana mtu, tena marehemu na ulapata likes nyingi, yaani katika nafsi unaridhika kabisa, na kuona una bonge la comment! Kweli?

Tubadilike, haya maisha tukiwa tunaishi tuishi kwa akili!
 
Alimsaliti kwa lipi wakati alikuwa anasimamia anachokiamini yeye.

Akili za watanzania zinanishangaza kweli. Tundu lissu hakuwa mwana ccm na wala hakuwa anakubaliana na ccm hivyi alikuwa na maono ya tofauti.

Hata CHADEMA hajaisaliti, bado ni tundu lissu yule yule sema wanaopiga kelele ni wale wanaowaponda wale wanaowaita chawa wa ccm kwa kutokemea mabaya ya ccm na serikali, huku wao mtu akikemea mabaya ya chama chao wanasema msaliti.
 
Lissu mpaka.sasa hivi hajasaliti chochote kijana!!
Hayo mambo ya nia yake kugombea uwenyekiti vikao vitaamua kama anafaa ama hafai hiyo ndiyo demokrasia hai ndani ya CDM, chama pekee kinachoruhusu kiongozi wa juu kabisa wa chama kuwa challenged.
Umeliona andiko la Yericko Nyerere na Boni Yai? Dawa inawaingia
 
Una fi wa mk d wako. Ukome kutudhihakia Dkt Magufuli, tunampenda sana. Yaani natamani ije itokee timu Magufuli na nyingi mapunga tupambanishwe tuona nani mshindi wajinga sana nyie
Uko sahihi kabisa, nyumbu wanakera mno
 
Una fi wa mk d wako. Ukome kutudhihakia Dkt Magufuli, tunampenda sana. Yaani natamani ije itokee timu Magufuli na nyingi mapunga tupambanishwe tuona nani mshindi wajinga sana nyie
Huna akili, kwa hiyo kutukana watu kisa kutoa maoni yao ndio unajiona mjanja? Kama unampenda JPM ni wewe sio lazima kila mtu anampenda.

Hao Team magufuli mbona walishapotezwa wote kwenye ulimwengu wa siasa na hamna kitu walifanya. Muda wenu ulishapita so deal with it.
 
Back
Top Bottom