Tulia binti usiefanywaWewe naye na jiwe!! Kaa! Kama vipi kazikwe naye pale Chato.
Mbwa ile Bora ilivyokufa.
Tuambie huko motoni ulienda lini?Magufuli yule muuaji aliyeko motoni sasa hivi au mwingine?
Naletewa taarifa daily.Tuambie huko motoni ulienda lini?
Unawaomba,unawabembeleza,unawafunda au unawafokea?Hivi mkitukana mtu, tena marehemu na ulapata likes nyingi, yaani katika nafsi unaridhika kabisa, na kuona una bonge la comment! Kweli?
Tubadilike, haya maisha tukiwa tunaishi tuishi kwa akili!
Umeliona andiko la Yericko Nyerere na Boni Yai? Dawa inawaingiaLissu mpaka.sasa hivi hajasaliti chochote kijana!!
Hayo mambo ya nia yake kugombea uwenyekiti vikao vitaamua kama anafaa ama hafai hiyo ndiyo demokrasia hai ndani ya CDM, chama pekee kinachoruhusu kiongozi wa juu kabisa wa chama kuwa challenged.
Una fi wa mk d wako. Ukome kutudhihakia Dkt Magufuli, tunampenda sana. Yaani natamani ije itokee timu Magufuli na nyingi mapunga tupambanishwe tuona nani mshindi wajinga sana nyieMagufuli yule muuaji aliyeko motoni sasa hivi au mwingine?
Huna akili, kwa hiyo kutukana watu kisa kutoa maoni yao ndio unajiona mjanja? Kama unampenda JPM ni wewe sio lazima kila mtu anampenda.Una fi wa mk d wako. Ukome kutudhihakia Dkt Magufuli, tunampenda sana. Yaani natamani ije itokee timu Magufuli na nyingi mapunga tupambanishwe tuona nani mshindi wajinga sana nyie
Tundu Lissu aliwasalitije? Jengeni utamaduni wa kulipa madeni na kufuata Sheria za mikataba ya kimataifaWakati Lisu anasaliti taifa na kushangilia kukamtwa kwa ndege ambazo zimenunuliwa kwa kodi za Watanzania,