Lissu alipomsaliti Magufuli CHADEMA mlishangilia, zamu yenu sasa

Kushupaza shingo tu Lissu alimshauri Magufuli Kama anataka kufanikiwa kwa ule mfumo wake alio kuwa anaenda nao akajifunze Bolivia jinsi ya kutengeneza mikataba

Magufuli shida yake alitaka kila mtu awe CCM chama mfu kitu ambacho watu makini hawawezi kuingia kwenye uo mfumo...

Magufuli ubishi ulimsababishia matatizo hakuna cha kusalitiwa Wala Nini !!
 
Hahaha unachekesha. Ungejua mfumo wa Dkt Magufuli ndiyo unaotamaniwa na kila mwanasiasa hahah. Sisi tupo na tunaahidi hii nchi tutaichukua tena! Na lazima wajinga ka wewe tuwaoneshe maana ya maendeleo siyo ujinga wenu wa wizi wizi
 
Hahaha unachekesha. Ungejua mfumo wa Dkt Magufuli ndiyo unaotamaniwa na kila mwanasiasa hahah. Sisi tupo na tunaahidi hii nchi tutaichukua tena! Na lazima wajinga ka wewe tuwaoneshe maana ya maendeleo siyo ujinga wenu wa wizi wizi
Unajidanganya, huyo mama yenu keshawang'oa sukuma gang wote kwenye mfumo. Kama mna watu chukueni fomu ya urais mwakani mkishindwa anzisheni chama tuone hiyo nguvu yenu
 
..acha kuwaandama Chadema.

..shughulika na wanaCcm wenzako waliomuua mpendwa wako John Magufuli.
 
Unajidanganya, huyo mama yenu keshawang'oa sukuma gang wote kwenye mfumo. Kama mna watu chukueni fomu ya urais mwakani mkishindwa anzisheni chama tuone hiyo nguvu yenu
Wapo wengi tu kwa taarifa yako. Intelijensia ya nchi yetu iko vizuri sana. Kinachoendelea ni kukusanya ushahidi waliohusika kumuua Dkt Magufuli LAZIMA waje wakione cha mtema kuni. Unadhani kama siyo kufanya hivyo hao wauaji wa Dkt Magufuli wangejulikana vipi??? Ila now kila muuaji aliyehusika anajulikana!
 
Makonda ,Kabuki, Polepole wamepotezwa kwenye siasa?
Huna akili kabisa nyumbu wewe
 
Na Mbowe amembishia Lisu kwa kukataa kwenda kujifunza Bolivia?
 
Moto wa Lisu unamwakia gaidi
Hueleweki wapi unasimamia.

Magufuli amewaacha njia panda tangu amekufa umebaki unacheza tribal card pole sana ndio imetoka hivyo jipangeni tena.
 
Mbowe ulilaniwa siku uliyoshangilia kifo cha Magufuli
 
Tutashitakiwa MIGA
Kwa hiyo huko ndiko kumsaliti?
Walikubaliana lini na baadae akamsaliti?
Kwani hatulipi hizo fedha?
Fedha tunalipa sana kwa kukataa ushauri wa wanasheria na kuamua kwa mihemko eti kila Mtanganyika atapata Noah! Wapi?
 
Kwa hiyo huko ndiko kumsaliti?
Walikubaliana lini na baadae akamsaliti?
Kwani hatulipi hizo fedha?
Fedha tunalipa sana kwa kukataa ushauri wa wanasheria na kuamua kwa mihemko eti kila Mtanganyika atapata Noah! Wapi?
Mbowe amenangwa tena na leo
 
Tundu anaenda na facts haijalishi ninani anayemzungumza, ameyaongea hayo anayoendelea kuongea ili kuiweka chadema mahali pazuri zaidi lakini kama mteja wenu Mbowe na wenje wakiendelea kuleta ubishi chadema ndio inaenda kujifia.

Jipu lazima lipasuliwe ili moyo utoke kidonda kipoe. Lissu yuko makini sana hoja zake ni nzuri sana na wanachama wa chadema wanaenda kumchagua tundu lissu kwa confidence, kama hamtamsaidia mbowe kuiba kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…