Lissu alitaka tufe na Corona kwa wingi ili Magufuli ashindwe halafu anataka awe Rais wetu?

Lissu alitaka tufe na Corona kwa wingi ili Magufuli ashindwe halafu anataka awe Rais wetu?

TUMI EPAFRA

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
59
Reaction score
56
Alitaka tufe na Corona kwa wingi ili Magufuli ashindwe halafu anataka awe rais wetu? Alisema Magiufuli atake asitake korona intamshinda na kuthibitisha hana uwezo wa kuongoza, alitaka korona ituue kwa wingi kuthibitisha yake sio?

Si lolote si chochote ila anataka urais anufaike yeye na jamaa zake tu, kwanza anaongea kama dikteta, hana sera ila malalamiko.

Huyu mlafi wa madaraka analazimisha vyama vingine vimteue yeye, demokrasia uchwala ya Tanzania pekee, kichekesho fulani. Jamaa ana maghadhabu na mchonganishi kibaraka wa mabeberu muuza nchi mtumwa wa akili.
 
Haihitaji PhD kutambua akili zilizochanganyika na haja kubwa
 
Mlivyotaka afe je kwa kupigwa zile risasi?
Leo mnamuona karudi mzima tena na fomu kachukua mnaanza visa!
Mara hana sifa sijui mambo ya maadili, ooh kaharibu wimbo wa taifa!
Mambo ya corona...!
Subirini kishindo... mtasema yote!
 
Kwann Musiba anatukana watu hakamatwi? Magufuli anapaswa kurudi kwao Chato.
 
Haya aamka ukakojoe usije kuloanisha kitanda! Ndoto za mchana haziishagi vizuri
 
Wekeni hoja hapa tuzijadili kwa manufaa ya nchi yetu. Ulichokiandika hakiwezi mshawishi mtu yeyote kumwona Lissu ni mbaya na kisha kumpigia mtu wako kura kwasababu umeandika kama mipasho.

Weka madhaifu ya Lissu kama vile kukosa stratergy za kiuchumi au kuwa mtu wa hasira za haraka ili tujadili tuone kama yanampunguzia sifa za kuwa rais au la.
 
Nape alipotumbuliwa alitaka kuongea na waandishi wa habari lkn akashikiwa bastola. Kwann? Achaguliwe tena mtu huyu?
 
Adui wa cdm ni cdm wenyewe, wengine tulisema tangu 2015 kubadili gia angani ilikuwa ni laana ya kansa itakayo ifikisha cdm kaburini.

Adui wa Lissu ni Lissu mwenye, kiburi, dharau, ujuaji, maneno yaliyojaa shari,ubinafsi na tamaa ya mali na cheo ndio kansa inayoenda kummaliza kisiasa.

Jinsi walivyo mchukulia Zitto wakati wa MM, khalafu anarudi ACT juzi alisha sahau yote. Jinsi alivyoshughulikia Buliankhulu halafu anaenda kujizungusha kwa Wazungu huko ulaya. Sijui kama wanemuacha salama, mental status yake inatia shaka.
Leo tutasikia propaganda uchwara, mabilioni wamsindikiza Lissu kuchukua fomu za urais. Hao ni wale vikaragosi wake wa DW, BBC, na VOA.
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kudhani Lissu atashinda uchaguzi wa mwaka huu.

CCM imeshakuwa tested kwenye all senario kuanzia vitisho,mafuriko,umaarufu wa mgombea nk leo ukizungumzia Lissu ni wepesi sana ukilingalisha na Lowasa ambae alikuwa King Pin kuanzia connection ,cash na alikuwa na watu ndani ya mfumo na ndani ya CCM yenyewe .

Ukizungumzia umaarufu wa Lissu kwenye level ya nchi ni mdg sana kulinganisha na mshindani wake ndani ya CCM kwenye upande wa hoja sidhani kama upinzani mwaka huu wana hoja ambayo itaweza kubadili hisia za wapigakula wengi pia historia inaonyesha hakuna msimu ambao kunakiongozi alichaguliwa kwa kuonewa huruma

Ukizungumzia utayari wa Chadema ktk kutetea kura zao sidhani kama leo wanachama wa chadema wana uthubutu na ujasiri kama waliokuwa nao wanachama wa CUF ngangali na Ngunguli ya enzi zile ambao mfumo ule ulishindwa na wote tunajua.
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kudhani Lissu atashinda uchaguzi wa mwaka huu.

CCM imeshakuwa tested kwenye all senario kuanzia vitisho,mafuriko,umaarufu wa mgombea nk leo ukizungumzia Lissu ni wepesi sana ukilingalisha na Lowasa ambae alikuwa King Pin kuanzia connection ,cash na alikuwa na watu ndani ya mfumo na ndani ya CCM yenyewe .

Ukizungumzia umaarufu wa Lissu kwenye level ya nchi ni mdg sana kulinganisha na mshindani wake ndani ya CCM kwenye upande wa hoja sidhani kama upinzani mwaka huu wana hoja ambayo itaweza kubadili hisia za wapigakula wengi pia historia inaonyesha hakuna msimu ambao kunakiongozi alichaguliwa kwa kuonewa huruma

Ukizungumzia utayari wa Chadema ktk kutetea kura zao sidhani kama leo wanachama wa chadema wana uthubutu na ujasiri kama waliokuwa nao wanachama wa CUF ngangali na Ngunguli ya enzi zile ambao mfumo ule ulishindwa na wote tunajua.

Umesema vizuri khalafu Mkt wake mnamchora tu sababu ya kujifanya mjuaji. Pale kikao mlimani city wale wajumbe mazuzu yakimshangilia Lissu Mkt Mboe yeye lake ni neno moja tu "Order, order"
Katibu ndio kabisa kama vile kalazimishwa fulani hivi.
 
Back
Top Bottom