Lissu aliwakosea nini wana CCM? Aliwahi kuwatendea nini Kwan?

Lissu aliwakosea nini wana CCM? Aliwahi kuwatendea nini Kwan?

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia

Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM

Mumesahau mpaka rais Samia kumuanzishia nyuzi za kumsifia

Naona lisu kawaweka bize mpaka mumesahau Samia

Ana kosa gan huyu mnyaturu alilowakosea

Asante
 
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao...
Hawapendi kuona ama kusikia neno haki likitendwa ama kutendeka kwa haki,usawa na ukweli.Hapo ndio shida yao ilipo.
 
Nilichogundua, watanzania wamemstukia Lissu kwamba anataka kuwatapeli kisiasa
 
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia

Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM

Mumesahau mpaka rais Samia kumuanzishia nyuzi za kumsifia

Naona lisu kawaweka bize mpaka mumesahau Samia

Ana kosa gan huyu mnyaturu alilowakosea

Asante
Nyeupe ni nyeupe, nyeusi ni nyeusi hii CCM hawawezi ndiyo maana wanaogopa.
 
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia

Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM

Mumesahau mpaka rais Samia kumuanzishia nyuzi za kumsifia

Naona lisu kawaweka bize mpaka mumesahau Samia

Ana kosa gan huyu mnyaturu alilowakosea

Asante
Nyerervwa kizazi hiki
Kweli zile kelele. Za mama anaupiga mwingi au ameleta maendeleo zimepungua na huenda zikaisha kabisa
 
Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM
Lisu ndiye mpinzani wa kweli wa ccm. Mbowe ni .pandikizi la ccm linalovuna pesa toka ccm. Ndiyo maana hata dikteta jiwe alimchukia zaidi Lisu na siyo Mbowe
 
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia

Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM

Mumesahau mpaka rais Samia kumuanzishia nyuzi za kumsifia

Naona lisu kawaweka bize mpaka mumesahau Samia

Ana kosa gan huyu mnyaturu alilowakosea

Asante
Tundu Lissu anashambuliwa na makundi yote ya CCM na CHADEMA
 
Amani kwenu wana jukwaa

Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia

Badala yake nguvu zote wamezihamishia kumshambulia tundulisu kwa nguvu zao zote

Je lissu aliwakosea nini wana CCM

Mumesahau mpaka rais Samia kumuanzishia nyuzi za kumsifia

Naona lisu kawaweka bize mpaka mumesahau Samia

Ana kosa gan huyu mnyaturu alilowakosea

Asante
Hawezi pita huyo mtu wenu hata Kwa dawa

View: https://x.com/swahilitimes/status/1869366126133538953?t=svmoPKDXzz1HpcjzHOYyOQ&s=19
 
Back
Top Bottom