Lissu amehutubia taifa lakini hakuna updates kwenye akaunti ya Chadema

Lissu amehutubia taifa lakini hakuna updates kwenye akaunti ya Chadema

Mzalendo_Mwandamizi

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2007
Posts
1,117
Reaction score
4,772
Screenshot_20211231-160537_Twitter.jpg

Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? 😊
 
View attachment 2064208
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? [emoji4]
Utaonaje update wakati TRCR wame slow down internet,,,,Lissu anaogopwa
 
View attachment 2064208
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? [emoji4]
Akahutubia taifa lake la mashoger huko
 
Hivi nyie watu mbona mnapenda kuleta mivurugano nchini kwetu? Hamridhiki huko mliko au?
 
View attachment 2064208
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? [emoji4]
Wewe hangaika na ccm yako mkuu
 
View attachment 2064208
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? 😊

..nadhani wengi wamenogewa ktk kusikiliza na kuchambua hotuba ya Lissu.

..kwa kweli Mama SSH atafunikwa. Aliyemshauri ahutubie baada ya Lissu anamhujumu Raisi.
 
View attachment 2064208
Najua ni kosa la jinai kuwakosoa lakini nadhani haya ni mapungufu yasiyohitaji Katiba mpya kuyarekebisha. Lissu amehutubia taifa kupitia YouTube, Spaces na Clubhouse kama sijakosea, lakini akaunti ya Chadema Taifa (@ChademaTz) haikuleta updates zozote za hotuba hiyo. Last tweet ni jana kuwa leo Lissu atahutubia.

Kwenda kidigitali sio kuwa na app tu bali kutumia digital platforms mbalimbali ikiwa ni pamoja na akaunti ya chama.

Au anahujumiwa? 😊
Wewe naye una obsession ya kimirinda nyeusi na issues za Chadema, si ubebe boksi zako huko upate hata chakula?
 
Nimeingia mjini leo sikuwepo tola 21st Dec...sina update yoyote toka tarehe hiyo...

Naomba nisikie hotuba ya Lissu ya kitaifa..plsee

Marafiki zangu naomba niwekeeni hapa tafadhali
 
Namna anavyosoma hiyo hotuba haifurahishi sana...kusoma neno moja moja..atleast angewekewa hata screen kubwa mbele ambayo ingemfanya asiinamishe inamishe kichwa kusoma document alizoweka mezan hapo..
 
Namna anavyosoma hiyo hotuba haifurahishi sana...kusoma neno moja moja..atleast angewekewa hata screen kubwa mbele ambayo ingemfanya asiinamishe inamishe kichwa kusoma document alizoweka mezan hapo..
Angekuwa anakuangalia ungesema anachekeachekea.Bora ingekuwa audio tu.
 
Back
Top Bottom