Uchaguzi 2020 Lissu amewaahidi nini wazungu endapo akiwa Rais, mbona wanamtetea sana?

Uchaguzi 2020 Lissu amewaahidi nini wazungu endapo akiwa Rais, mbona wanamtetea sana?

Nimefikiri na kujiuliza sana kwa nini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lisu , je huyu Lisu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuwalisia Lisu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.

Hapo kwenye nyekundu inaonesha kwa jinsi gani uchaguzu uchakachuliwa, na ndio maana ile kipengele ya matokeo ya Urais hayapingwi kwenye mahakama yeyote kinang'ang'aniwa.
 
Lissu ndiyo hivyo kama ulivyo sikia kuwa sasa hivi kashatua pale Adis Ababa Ethiopia anasubiri kuunganisha kuingia Tanzania [emoji1241].

Kwenu nyie wote mlio mtenda maovu mjiandae kabisa kuumbuliwa na dunia itawashuhudia
Mchezo wenu tulishaufahamu.... Mnataka kutuuza kama Libya... Mvune mali za watanzania kwa damu... Kamwe hatutetereki... Kiboko yenu Magufuli bado yuko imara sana.... Tutailinda nchi hii sana
 
Ulichokiandika hiki kinatosha kabisa kuonesha jinsi ulivyo mweupe kichwani!

Bara la Africa sio koloni la mabepari!!
Wakiwasaidia fedha za miradi mnawaita wadau wa maendeleo!

Wakijenga viwanda wanaitwa Wawekezaji.

Tatizo wakimuunga mkono Lissu kupigania stahiki zake na kulaani alichofanyiwa wanageuka kuwa Mabeberu.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hao wazungu wameanza kumtetea leo tukielekea kwenye uchaguzi? Umesahau maandiko mengi waliyotoa huko tangu alipokoswa kuuwawa? Tundu alitangaza kugombea urais then? Baki na akili zako zote, usiziache kwa jirani. Pia usishabikie na kuonesha kufurahia maumivu ya mwingine.
Nimefikiri na kujiuliza sana kwa nini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lisu , je huyu Lisu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuwalisia Lisu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.
 
Nimefikiri na kujiuliza sana kwa nini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lisu , je huyu Lisu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuwalisia Lisu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.
1. Hawezi kua Rais

2. Atakuwa ameahidi kuwapa madini na aridhi

3. Atakuwa amekubali ndoa za jinsia moja

N.B- Ni mhaini wa nchi yetu apuuzwe

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Nimefikiri na kujiuliza sana kwa nini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lisu , je huyu Lisu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuwalisia Lisu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.
Unakosea na hujui Mungu anavyofanya kazi nyie subirini tu mtaona mambo.
 
Nimefikiri na kujiuliza sana kwa nini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lisu , je huyu Lisu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuwalisia Lisu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.

Acha kujidanganya kuwa wazungu wanataka kitu flan tz ambacho wanashindwa kukipata

Hao Hao wazungu mashirika Yao ndio yanasaidia Sana tz
 
Ulisoma vizuri soma la uraia kidato cha kwanza na cha pili? Kuna mada ya Demokrasia na Haki za binadamu na mipaka yake! Haki za binadamu zinazobinywa ni zile ambazo kwa pamoja kama Watanzania tulikubaliana kwenye katiba yetu ya mwaka 1977.

Pia kuna mada ya immoral behaviour, hizo tabia za ushoga na madawa ya kulevya yamo ndani humu na sisi kama jamii tunayapinga!

Tunachopinga kwenye nchi kwa sasa mwenye akili amekuwa mmoja tu, na tumbo lililozaa mtoto bora ni la mama yake tu! Yeye ndo mwema kuliko wote, yeye ndo mwenye busara na hekima kuliko wote!

Apambane na madawa ya kulevya na ushoga lakini aache vyama mbadala navyo vifanye siasa kama ccm. Dk. Hussein Mwinyi amesindikizwa Dodoma akapokelewa Zanzibar, akaenda Pemba lakini hakuna aliyemghasi. Leo anatua kipenzi cha Watanzania Tundu Lissu, vyombo vya dola matamko yamekuwa yatamko kwelikweli.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Niliishia la saba kamanda! kabla JPM hajaingia kutoa ELIMU BURE.
Kwa hiyo hata tukimchagua Tundu Lissu bado kutakuwa na mipaka ya Demokrasia?
 
Back
Top Bottom