Kwa hivyo alipokuwa makamo alikua hana kazi?Anafuata nyao za Mwambukusi, kazi ya kiongozi sio kuongea bali kutenda zaidi.
Kwa hivyo alichotaka kumuondoa mbowe ashapata?Hana cha kupost
Chama akijenge au akibomoe?Mboma TAL anakusumbua sana akili yako? Hafanyi vitu kwa matakwa ya watu. Anajua achofanya, tangu lini Lissu akaogopa mitandao? Hebu mpumzisheni Baba wa watu, ajenge Chama.
Chawa wa lissu?Apost ili iweje? Unataka akupost umekuwa mke wake? Kwa sasa ana majukumu mengi
Nikwambie hii kanuni, ukimchukia mtu huwa anafanya vizuri zaidi ya inavyotakiwa. Wewe tulia na wenzako, dawa itawaingia mtalala usingizi wa pono. Mtakosa cha kumkosoa. Time will tell.Chama akijenge au akibomoe?
Kimakonde hicho?Wahi ukaswali.
Chawa? Mimi au wewe?Chawa wa lissu?
Simchukii lissu. Lissu rafiki yangu, kilinichokera njia alioingilia kupata uongoziNikwambie hii kanuni, ukimchukia mtu huwa anafanya vizuri zaidi ya inavyotakiwa. Wewe tulia na wenzako, dawa itawaingia mtalala usingizi wa pono. Mtakosa cha kumkosoa. Time will tell.
Lissu anaogopa kupostAtapost pale inapohitajika we unataka apost memes au kulana kimasihara?
Huyu Mbowe anakutafuna bila shaka yoyote zile hela za Abdul ndiyo zimekuponza hadi umeliwa kimasiharaNaona tangu achaguliwe mwenyekiti wa chadema mitandao ya kijamii anaigopa hata kuitumia.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitewet kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka chadema na ccm ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.
BAVICHA YA LISSU SHAMBA LA MATUSI. MBOWE ANATAMBUA HILOHuyu Mbowe anakutafuna bila shaka yoyote zile hela za Abdul ndiyo zimekuponza hadi umeliwa kimasihara
Mbowe lazima akutie mimba mwaka huu maana jina lake halitoki akilini mwako kwa jinsi anavyokupelekea moto wa hatari.BAVICHA YA LISSU SHAMBA LA MATUSI. MBOWE ANATAMBUA HILO
SijuiKwa hivyo alichotaka kumuondoa mbowe ashapata?