Naona tangu achaguliwe mwenyekiti wa CHADEMA mitandao ya kijamii anaigopa hata kuitumia.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitwiti kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka CHADEMA na CCM ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitwiti kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka CHADEMA na CCM ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.