Pre GE2025 Lissu anasema aliwahi kuwasilisha suala la Rushwa ya Abdul na mama yake kwa Kamati Kuu lakini halikujadiliwa zaidi

Pre GE2025 Lissu anasema aliwahi kuwasilisha suala la Rushwa ya Abdul na mama yake kwa Kamati Kuu lakini halikujadiliwa zaidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Lissu ameulizwa kwanini ameongea sasa kuhusu rushwa za mama abdul na mwanaye anakuja kuongea sasa, amejibu hivi;

Nilihitaji kukusanya taarifa zaidi kabla sijangumza, kabla ya kuzungumza kwenye mkutano wa iringa may 2 aliandika ujumbe wa maandishi kwa wajumbe wote wa kamati kuu, akielezea juu ya tatizo la rushwa kwenye chama, rushwa ya abdul na mama yake, na kuvugwa kwa uchaguzi wao wa ndani.

Pia soma:

Alipozungumza hapa alikuwa amepata taarifa za kutosha juu ya rushwa hiyo ya abdul na mama yake kuharibu uchaguzi, lakini alitengenezewa zengwe kwenye kamati kuu. Alipozungumza kwenye kikao hicho habari hizo hazijawahi kutolewa nje, wakisema Lissu aliomba msamaha, lakini si kweli, kama wanabisha watoe video.

Baada ya kikao hicho cha kamati kuu alipata habari za ziada, ilikuaje abdul akapelekwa na wenje, anasema habari ilianzia kwengine, ambako huko alisema wenje anammudu lissu maana ni marafiki, ndio wenje akampela abdul kwa lissu

Lissu anaongea haya club house December 23, 2024 pia unaweza kusikiliza kwenye XSpaces ya Sauti ya Watanzania
 
Lissu ameulizwa kwanini ameongea sasa kuhusu rushwa za mama abdul na mwanaye anakuja kuongea sasa, amejibu hivi;

Nilihitaji kukusanya taarifa zaidi kabla sijangumza, kabla ya kuzungumza kwenye mkutano wa iringa may 2 aliandika ujumbe wa maandishi kwa wajumbe wote wa kamati kuu, akielezea juu ya tatizo la rushwa kwenye chama, rushwa ya abdul na mama yake, na kuvugwa kwa uchaguzi wao wa ndani.

Alipozungumza hapa alikuwa amepata taarifa za kutosha juu ya rushwa hiyo ya abdul na mama yake kuharibu uchaguzi, lakini alitengenezewa zengwe kwenye kamati kuu. Alipozungumza kwenye kikao hicho habari hizo hazijawahi kutolewa nje, wakisema Lissu aliomba msamaha, lakini si kweli, kama wanabisha watoe video.

Baada ya kikao hicho cha kamati kuu alipata habari za ziada, ilikuaje abdul akapelekwa na wenje, anasema habari ilianzia kwengine, ambako huko alisema wenje anammudu lissu maana ni marafiki, ndio wenje akampela abdul kwa lissu

Lissu anaongea haya club house December 23, 2024 pia unaweza kusikiliza kwenye XSpaces ya Sauti ya Watanzania
Kitu kimoja ambacho sikielewi na huenda sitakielewa milele ni hichi.
Msigwa akiwa Chadema alikuwa anadai kuwa CCM kupitia Samia imeleta pesa nyingi ili kuvuruga Chadema hususani kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa. Sasa baada ya Msigwa kushindwa huku akidai pesa chafu ya CCM ndio imechangia kushindwa kwake, hapo hapo akaamua kuhamia CCM huku akisema hicho ndio chama sahihi kwake.

Mwenye kuelewa hili anieleweshe.
 
Kitu kimoja ambacho sikielewi na huenda sitakielewa milele ni hichi.
Msigwa akiwa Chadema alikuwa anadai kuwa CCM kupitia Samia imeleta pesa nyingi ili kuvuruga Chadema hususani kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa. Sasa baada ya Msigwa kushindwa huku akidai pesa chafu ya CCM ndio imechangia kushindwa kwake, hapo hapo akaamua kuhamia CCM huku akisema hicho ndio chama sahihi kwake.

Mwenye kuelewa hili anieleweshe.
Wanasiasa = maslahi
 
Kitu kimoja ambacho sikielewi na huenda sitakielewa milele ni hichi.
Msigwa akiwa Chadema alikuwa anadai kuwa CCM kupitia Samia imeleta pesa nyingi ili kuvuruga Chadema hususani kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa. Sasa baada ya Msigwa kushindwa huku akidai pesa chafu ya CCM ndio imechangia kushindwa kwake, hapo hapo akaamua kuhamia CCM huku akisema hicho ndio chama sahihi kwake.

Mwenye kuelewa hili anieleweshe.
Labda tuseme alipima viwango vya makando kando na mambo meusi, akaamua kutimukia sehemu yenye ahueni kidogo.
 
Kitu kimoja ambacho sikielewi na huenda sitakielewa milele ni hichi.
Msigwa akiwa Chadema alikuwa anadai kuwa CCM kupitia Samia imeleta pesa nyingi ili kuvuruga Chadema hususani kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa. Sasa baada ya Msigwa kushindwa huku akidai pesa chafu ya CCM ndio imechangia kushindwa kwake, hapo hapo akaamua kuhamia CCM huku akisema hicho ndio chama sahihi kwake.

Mwenye kuelewa hili anieleweshe.
ujataka tu kuelewa
msigwa yuko sahihi
kama alisema kuna fedha chafu toka kwa mama abdul na bado wakubwa wakakaa kimya wakionesha kuunga mkono uozo huo akaamua kuufata uozo maana hata angebaki pale angepoteza muda tu
 
Lissu ameulizwa kwanini ameongea sasa kuhusu rushwa za mama abdul na mwanaye anakuja kuongea sasa, amejibu hivi;

Nilihitaji kukusanya taarifa zaidi kabla sijangumza, kabla ya kuzungumza kwenye mkutano wa iringa may 2 aliandika ujumbe wa maandishi kwa wajumbe wote wa kamati kuu, akielezea juu ya tatizo la rushwa kwenye chama, rushwa ya abdul na mama yake, na kuvugwa kwa uchaguzi wao wa ndani.

Alipozungumza hapa alikuwa amepata taarifa za kutosha juu ya rushwa hiyo ya abdul na mama yake kuharibu uchaguzi, lakini alitengenezewa zengwe kwenye kamati kuu. Alipozungumza kwenye kikao hicho habari hizo hazijawahi kutolewa nje, wakisema Lissu aliomba msamaha, lakini si kweli, kama wanabisha watoe video.

Baada ya kikao hicho cha kamati kuu alipata habari za ziada, ilikuaje abdul akapelekwa na wenje, anasema habari ilianzia kwengine, ambako huko alisema wenje anammudu lissu maana ni marafiki, ndio wenje akampela abdul kwa lissu

Lissu anaongea haya club house December 23, 2024 pia unaweza kusikiliza kwenye XSpaces ya Sauti ya Watanzania
Baada ya kuona halijajadiliwa kwenye kamati kuu (kutokana na mgongano wa maslahi, maana baadhi ya wajumbe ni wanufaika), akaamua kulipeleka hadharani akiwa mkoani Iringa. Aliema kwamba kila akiomba pesa za kusafiri na kunadi chama mikoani anaambiwa pesa hakuna, ila kwenye chaguzi za nani za kanda na mikoa wagombea walikuwa na pesa nyingi zisizo na maelezo thabiti ya vyanzo vyake. Ni wazi kwamba Chadema nako kuko corrupt, hawana udhu wa kuwasema CCM kwa sasa!
 
Anyone who patiently endures injustice and silently bears insults will soon become unjust or unable to discern right from wrong. ~Mary Wollstonecraft

Mkuu missongika , emu kula chuma hiko!
 
Mwenye kuelewa hili anieleweshe.
Na pia alikuwa anasema Magufuli alimuahidi mapesa mengi na cheo lakini hakwenda CCM labda lile dau aliachiwa Samia ili Msigwa akibadili mawazo.

Statement zao na Mbowe mbona zinafanana?
 
Back
Top Bottom