Lissu anaweza kuivusha nchi lakini hawezi kukivusha chama chake!

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Haya maajabu au dharau kwa watanzania?

Kwamba baadhi ya wafuasi wa CHADEMA wanasema Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama chao lakini hao hao wanasema anafaa(alifaa mwaka 2020) kuongoza nchi nzima ya Tanzania.

Tutafakari!

Demokrasia iwe kwa vitendo siyo kwa maneno matupu ya majukwaani au mitandaoni.
 
Kwakweli hata mm nimeshangaa sana yaani inakuwaje watu wazima na akili zao wanatoa hoja za kitoto kiasi hicho? Kama hawana hoja za kupambana na lissu nibora wakae kimya kuficha madhaifu yao. Haingii akilini mtu waliotembea nchi nzima wakimnadi ili awe raisi wa nchi eti leo watuambie hawezi kuendesha chama. What the pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…