Tetesi: Lissu aomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchi tatu

Tetesi: Lissu aomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchi tatu

Status
Not open for further replies.

Mkirindi

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
6,752
Reaction score
4,966
Ndugu Wana JF,

SUB: LISSU AOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI WA KISIASA NCHI TATU

Nimepata hizi habari ambazo nimeziita TETESI, kwa sababu hakuna Actual Facts, ama Ushahidi ambao unaweza kuugusa, lakini una viashira vinge vya ukweli.

Kupitia wahusika wakuaminika sana, nimepata taarifa isemayo kuwa Ndugu TUNDU LISSU, ametayarishiwa mazingara mazuri sana ya kuweza kupewa UHAMIAJI/UKIMBIZI WA KISIASA kati ya chi Tatu ( UJERUMANI, SWEDEN NA CANADA ).

Inasemekana ya kuwa Ndugu Lissu amesha peleka maombi yake ya Ukimbizi wa Kisiasa, likihusiana na tatizo la hatari kwa maisha yake , iwapo atarudi Tanzania. Pia inasemekana Wenyeviti wa Vyama vya Chadema na ACT, wameziandikia barua za Recommendation hizo Balozi za GERMAN, SWEDEN & CANADA, kuwasisitiza wayakubali maombi ya Ndugu Lissu, kwani kuna tishio kw aMaisha yake arudipo nchini
 
hapo ulipoandika eti wenyeviti wa vyama ndipo nimegundua taarifa imetungwa na kuchapwa mtaa wa lumumba
ukimbizi wa mtu unapataje kwa endorsement ya mwenyekiti!!!!!
sema tu mnataka kuleta propaganda zenu kuwa mbowe anataka lisu asirudi ili aendelee kuwa mwenyekiti

note: mimi mwenyewe nashauri lisu asirudi nchi hii sababu naona real danger kwa uhai wake
 
Tulishajua Lisu hawezi kurudi Tanzania sasa hivi, atarudi baada ya miaka mingi sana kupita
 
Write your reply...This can be possible,

Hata Lissu angekuwa ni mm I will never back again to this country utawala wa sasa hauna. tofauti na utawala Nyerere,

Kipindi cha nyerere ikionekana una mpiga kwisha habari yako,,

Kuna Dr mmoja pale udsm alirudi 1999 Nchini baada ya Nyerere

Kwa hyo inaweza ikawa kweli.......
 
Kila siku nilikuwa najiuliza kama akirudi usalama wake utakuwaje maana jiwe anajua anachofanya na genge lake hawezi kukaa mbali na kesi za kuua kitendo cha kuagiza wabunge wa kusini wapigiwe ndugu zao hiyo ni ishara tosha mikono yake imezoea damu.
 
Write your reply...
Mnafiki huyo na muongo akwende tu....kakosa uzalendo unawezaje kushirikiana na wazungu ilikuikwamisha nchi yako?! eti tutashitakiwa then una side kwao,mara ooh msiwape watanzania msaada !! analeta siasa zake chafu za kumtukana lowasa lakini Leo ndo anamlamba viatu...
 
Tundu lissu atakuwa ni mtu wa kushangaza..kwa nini asirudi amuombe msamaha rais John pombe Magufuli halafu ajiunge na Chama Cha Mapinduzi halafu alee familia yake kwa raha na mustarehe.
 
Ramli chonganishi!

Unakuta aliyetunga huu ujinga ni mtu mzima na una familia!

Sad
 
Write your reply...
Mnafiki huyo na muongo akwende tu...unaanzaje kushirikiana na wazungu kuanhamiza wananchi wako! eti tutashitakiwa hahaha mara ooh wazungu acheni kuqasaidia watanzania ili kumkomoa Rais ili iweje?! yaani mamilioni ya watu waumie kwasababu zake za siasa chafu za kumtukana lowasa Leo hii anamlamba viatu...
 
Nini cha ajabu sasa endapo ataamua/kushauriwa hivyo. Just imagine kwamba kuna watu wenye roho za kishetani wanaamua kushambulia binadamu mwingine kwa risasi 38+, na bila shaka tunapishana nao kwenye nyumba za ibaada au kwenye vikao ndani ya jamii zetu wakijinasibu kuwa ni watu wenye maadii wanaostahili kuigwa na jamii zetu.

Viongozi wapo pamoja na wastaafu wanaendelea kula neema ya nchi kwa kodi zetu hadi pale Mungu atakapoamua kuwapumzisha, lakini hakuna hata anaejali. Bila shaka wao pia wanaogopa hizi risasi kuwageukia, maana kama ni kulipwa hadi maisha yao yote ni suala la katiba na siyo hisani ya mtu. Lakini hata mmoja kujitokeza na kusema hii si sawa amekosekana wote wanaviziana ni nani aanze kunyoosha kidole.

Tuendelee kuvumilia, hata wakati wa utumwa wengi walipoteza maisha na kuteswa, lakini hadi mwaka 1961 wapo waliosalia na hadi Nyerere anapokea kijiti hakukuta Tanganyika ikiwa na raia wazungu tu, hapana waAfrika ndo walikuwa wengi over 99%. Tuwe na tumaini kuwa wapo watakaosalimika na mikono ya wasiojulikana hata kama itakuwa ni baada ya muda mrefu kiasi gani maadam angalau hatujapokonywa haki ya kuzaliana.
 
Ndugu Wana JF,

SUB: LISSU AOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI WA KISIASA NCHI TATU

Nimepata hizi habari ambazo nimeziita TETESI, kwa sababu hakuna Actual Facts, ama Ushahidi ambao unaweza kuugusa, lakini una viashira vinge vya ukweli.

Kupitia wahusika wakuaminika sana, nimepata taarifa isemayo kuwa Ndugu TUNDU LISSU, ametayarishiwa mazingara mazuri sana ya kuweza kupewa UHAMIAJI/UKIMBIZI WA KISIASA kati ya chi Tatu ( UJERUMANI, SWEDEN NA CANADA ).

Inasemekana ya kuwa Ndugu Lissu amesha peleka maombi yake ya Ukimbizi wa Kisiasa, likihusiana na tatizo la hatari kwa maisha yake , iwapo atarudi Tanzania. Pia inasemekana Wenyeviti wa Vyama vya Chadema na ACT, wameziandikia barua za Recommendation hizo Balozi za GERMAN, SWEDEN & CANAD, kuwasisitiza wayakubali maombi ya Ndugu Lissu, kwani kuna tishio kw aMaisha yake arudipo nchini
Ni Ujinga na Upumbavu wa ccm kila kukicha wanapata kiwewe juu ya Tundu Lissu mpaka wamegeuka kuwa waganga wa kienyeji kila siku kubashiri kuhusu Lissu au Mbowe na Chadema kwa ujumla mtoa mada huo ni Ujinga kuwaaminisha uongo Misukule wenzie wa ccm!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom