Tetesi: Lissu aomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchi tatu

Tetesi: Lissu aomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchi tatu

Status
Not open for further replies.
Maccm mnamuogopa lissu kiasi hiki mpka muanze kutengeneza story.......
 
Tundu lissu atakuwa ni mtu wa kushangaza..kwa nini asirudi amuombe msamaha rais John pombe Magufuli halafu ajiunge na Chama Cha Mapinduzi halafu alee familia yake kwa raha na mustarehe.
[emoji23] [emoji23]
Eti amuombe msamaha magufuli!!

Kwa kumuita dikteta uchwara??
Kesi ambaya kamanda Hamduni huwa anajuta tarehe ya mahakama ikikaribia!
 
Ni heri. Kwa ushetani aliotendewa ni bora abaki uko kwanza.
 
Ukweli ulio wazi Lissu akirudi lazima AULIWE tu maana wasiojulikana target yao hawajaifikia.
 
Aennde tu we do not need traitors in our country
Hii nchi ina vichaa kweli kweli tumevamia siasa hadi tumekuwa vipofu wabunge 17 wa ccm waligoma kupitisha bajet kisa pesa za mkulima kukatwa na serikali magufuli alisema angepiga shangazi wa wazir mkuu na kufukuza wabunge wa ccm 17 kwa hali hii nani traitor?
 
Lissu akiwa nje ya nchi ni hatari kama Imamu Khomein alipokuwa nje ya nchi!.

Kama ilivyokuwa kalamu kali ya Khomein dhidi ya mfalme wa Irani ( Shah) , Lissu pia amebarikiwa kalamu kali mno, ulimi wa moto, akili ya kipanga na moyo wa Simba!

Kumbuka Imamu Khomein alipotoka Ufaransa ukimbizini alikuta umati unamsubiri pale airport, Tehran nzima imezizima, akajichukulia nchi kiulaini!!

Kama ka binti Kadogo kama Mange kametikisa nchi kwa kutumia Smartphone kakiwa nje ya nchi, je itakuwaje kwa Lissu mtu mwenye Ubongo mkubwa kama Mlima Everest akiwa nje ya nchi?.

Watu aina ya Lissu wana ushawishi wa kuendesha movement na kutengeneza coalition pana. Ni hatari sana

Bora wambembeleze tu arudi, wamlipe fidia na wamuhakikishie ulinzi wake!
 
Amewaza na kuamua vema. Katika ulimwengu huu wa teknolojia ataendeleza makombora 'from the bush'. Huku tuliko mashetani yatamuua tena....
 
Tundu lissu atakuwa ni mtu wa kushangaza..kwa nini asirudi amuombe msamaha rais John pombe Magufuli halafu ajiunge na Chama Cha Mapinduzi halafu alee familia yake kwa raha na mustarehe.

Nnaona umepigia Mstari alicho kisema Lissu kuhusu Uhusika wa Serikali kwa Tukio la kushambuliwa kwake.Sababu kama ni Msamaha unataka amuombe kwa Kosa gani ?
 
Ni Ujinga na Upumbavu wa ccm kila kukicha wanapata kiwewe juu ya Tundu Lissu mpaka wamegeuka kuwa waganga wa kienyeji kila siku kubashiri kuhusu Lissu au Mbowe na Chadema kwa ujumla mtoa mada huo ni Ujinga kuwaaminisha uongo Misukule wenzie wa ccm!!!
Mkuu Echolima hii ndiyo Tanzania mpya, tena hapa bado kabisaaa.
Kitakachoanza kutokea kuanzia mwaka 2021 hutakaa uamini maishani mwako.
 
Abakie huko huko asirudi, roho yake ni zaidi ya vyeo na madaraka
 
Ndugu Wana JF,

SUB: LISSU AOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI WA KISIASA NCHI TATU

Nimepata hizi habari ambazo nimeziita TETESI, kwa sababu hakuna Actual Facts, ama Ushahidi ambao unaweza kuugusa, lakini una viashira vinge vya ukweli.

Kupitia wahusika wakuaminika sana, nimepata taarifa isemayo kuwa Ndugu TUNDU LISSU, ametayarishiwa mazingara mazuri sana ya kuweza kupewa UHAMIAJI/UKIMBIZI WA KISIASA kati ya chi Tatu ( UJERUMANI, SWEDEN NA CANADA ).

Inasemekana ya kuwa Ndugu Lissu amesha peleka maombi yake ya Ukimbizi wa Kisiasa, likihusiana na tatizo la hatari kwa maisha yake , iwapo atarudi Tanzania. Pia inasemekana Wenyeviti wa Vyama vya Chadema na ACT, wameziandikia barua za Recommendation hizo Balozi za GERMAN, SWEDEN & CANAD, kuwasisitiza wayakubali maombi ya Ndugu Lissu, kwani kuna tishio kw aMaisha yake arudipo nchini
Mkuu Mkirindi, this is bad news, kwa sababu sisi wengine tunamhesabu Lissu as the one and only, anayeweza kumkabili Magufuli ,2020,
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli! - JamiiForums
ila kwa kauli zake za hivi karibuni kuhusu waliomshambulia, zinaashiria, ameishakubaliwa.

Hivyo kwa maoni yangu, kama sio Lissu vs Magufuli 2020, then wapinzani, wasipote muda kusimamisha mgombea, mwacheni rais Magufuli apite tuu bila kupingwa.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

P.
 
Ushabiki kazi!!!!!
Unavuma na upepo tu,hivi Gwajima mbona hatumsikii siku hizi!!!!
 
Mkuu Mkirindi, this is bad news, kwa sababu sisi wengine tunamhesabu Lissu as the one and only, anayeweza kumkabili Magufuli ,2020,
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli! - JamiiForums
ila kwa kauli zake za hivi karibuni kuhusu waliomshambulia, zinaashiria, ameishakubaliwa.

Hivyo kwa maoni yangu, kama sio Lissu vs Magufuli 2020, then wapinzani, wasipote muda kusimamisha mgombea, mwacheni rais Magufuli apite tuu bila kupingwa.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

P.
Atarudi. .....alisema hawezi kuwa mkimbizi wa Kisiasa mwaka uleeeeeeee wa mafuriko...
Acha kabisa Mungu hadhihakiwi!!
Huyu huyu Lisu....

( hii principal huwa naipenda....zip your mouth,lock it and put your key in your pocket )
 
Lissu akiwa nje ya nchi ni hatari kama Imamu Khomein alipokuwa nje ya nchi!.

Kama ilivyokuwa kalamu kali ya Khomein dhidi ya mfalme wa Irani ( Shah) , Lissu pia amebarikiwa kalamu kali mno, ulimi wa moto, akili ya kipanga na moyo wa Simba!

Kumbuka Imamu Khomein alipotoka Ufaransa ukimbizini alikuta umati unamsubiri pale airport, Tehran nzima imezizima, akajichukulia nchi kiulaini!!

Kama ka binti Kadogo kama Mange kametikisa nchi kwa kutumia Smartphone kakiwa nje ya nchi, je itakuwaje kwa Lissu mtu mwenye Ubongo mkubwa kama Mlima Everest akiwa nje ya nchi?.

Watu aina ya Lissu wana ushawishi wa kuendesha movement na kutengeneza coalition pana. Ni hatari sana

Bora wambembeleze tu arudi, wamlipe fidia na wamuhakikishie ulinzi wake!
Pole sana! Ataandika atachoka atajiona hana analopata
 
Ndugu Wana JF,

SUB: LISSU AOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI WA KISIASA NCHI TATU

Nimepata hizi habari ambazo nimeziita TETESI, kwa sababu hakuna Actual Facts, ama Ushahidi ambao unaweza kuugusa, lakini una viashira vinge vya ukweli.

Kupitia wahusika wakuaminika sana, nimepata taarifa isemayo kuwa Ndugu TUNDU LISSU, ametayarishiwa mazingara mazuri sana ya kuweza kupewa UHAMIAJI/UKIMBIZI WA KISIASA kati ya chi Tatu ( UJERUMANI, SWEDEN NA CANADA ).

Inasemekana ya kuwa Ndugu Lissu amesha peleka maombi yake ya Ukimbizi wa Kisiasa, likihusiana na tatizo la hatari kwa maisha yake , iwapo atarudi Tanzania. Pia inasemekana Wenyeviti wa Vyama vya Chadema na ACT, wameziandikia barua za Recommendation hizo Balozi za GERMAN, SWEDEN & CANADA, kuwasisitiza wayakubali maombi ya Ndugu Lissu, kwani kuna tishio kw aMaisha yake arudipo nchini

Wewe na hao jamaa zako mnatamaini sana iwe hivyo lakini ukweli utabaki pale pale Lissu atarudi karibu na uchaguzi 2020 na kurudi kwake tu ni kampeni tosha Tanzania nzima kupinga utawala wa jiwe.
 
Chadema ni kiwanda cha kuzalisha wakimbizi. Zao la kwanza alikuwa Dr Slaa, alikimbilia Canada baada ya kuhittifiana na chadema na maisha yake yakawa hatarini. Lissu atakuwa wa pili baada ya kuonesha nia ya kuwa mwenyekiti wa chama; maisha yake yakawa hatarini, akaponea chupuchupu! Watatu atakuwa nani? Waitara imebidi apewe ulinzi mkali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom