Pre GE2025 Lissu aombe radhi, asijitoe akili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu lazima aendelee ku-trend iwe kwa wema au ubaya
 
Punguza uongo
 
tena alisifia sana kuwa CHADEMA imepata coverage kwenye media kwa rais kuhudhuria.
huyu wakati mwingine ni mwehu.
Lini alisifia? Acha uongo. Usipende kuongea uongo kisa kumfurahisha chama Cha mambuzi
 
Hao wanakamati nao wapimwe kama zipo sawa. Unawezaje kushindana na mtu kama lissu ambaye ana cheti kabisa cha hospitali kuwa si mzima kichwani?
Cheti ulimpa wewe?. Mnaongea kana kwamba mtaishi milele. Punguzeni kiburi na dharau. Aliyemlima risasi yupo wapi?. Tulishamfukia.
 
Wewe ndio hueleweki. Lissu yupo vizuri.
Mtu ambaye hutoa kauli mbilimbili si wakuamini, leo asema hivi, kesho asema lingine, huyo sio wa kuamini, lakin niwakuwa nae makini kwa maneno yake, maana huenda hutaka asionekane mbaya.
 
Hata mtikila alipokuwa hai mlisema hivyo hivyo. Wanafiki wakubwa.
Lissu anacho kichaa cha asili,angeacha kunywa konyagi walau akili yake ingekuwa imetulia kidogo
 
Eeh

You know more than I do - makanisa yanahongwa?

I test my case
You probably meant "I rest my case".

Muulize huyo anayegawa pesa huko, lengo lake ni nini hasa! Kuna jambo gani huko kanisani linalomfanya amwage haya mahela ya vi-nchi vya kiarabu vyenye ukwasi wa kutupa? Wameona ni bora watununue waTanganyika moja kwa moja.
 
Yeah

I rested my case then

Na wanaopokea lengo nini? Wamekua malaya?
 
Yeah

I rested my case then

Na wanaopokea lengo nini? Wamekua malaya?
Sijui kama wamepokea kweli. Ngoja tusikilize mrejesho juu ya matokeo yaliyokusudiwa na mtoa rushwa. Hapo ndipo tutakapojuwa wamepokea au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…