Pre GE2025 Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuzo ilitolewa na BAWACHA lakini wa kukabidhi alikuwa Mbowe! Kwa hiyo, siku hiyo Mbowe alikuwa ni kiongozi wa BAWACHA!!
 
Mbowe tapeli sana!

Siku hiyo akajitutumua kutoa hotuba anamnanga Magagufuli eti "never and never again"

Kumbe alikuwa anafurahia kupata uhuru wa kupiga mihela ya mama Abdul!

Pumbavu sana
Mkuu umeandika vizuri,ila punguza ukali wa maneno, ni ombi tu sio lazima
 
Sijaona shida mpaka hapa mkuu,huyu ndie, kama tunaamini kuwa mwenyekiti lazima kuwa na usiri katika mambo ambayo hayaitji usiri ,tutakuwa niwajinga sana
Hizo ni akili za wana JF

Lakini sio mambo yanavyofanyika kwenye dunia ya siasa na serikali.

Serikalini na kwa nafasi za juu ndani ya chama ‘lazima ujue kuchunga ulimi wako’

Kuna nafasi unakuwa siri nyingi au uelewa wa mambo mengi ya ndani.

Huwezi kuropoka, Lissu hafai kuiongoza CDM jamaa ropo-ropo sijaona.

Hafai
 
Lisu anafaa kuwa mwanaharakati moja kwa moja.Hebu aonyeshe sana alichofanya,hii itamsaidia sana.Mwenzake kajieleza yeye Lisu anashutumu sana na kulalamika.Hii inawapa wapinzani wake nafasi ya kutumia.Huwezi kutuhumu kila siku bila kuonyesha mfano wa ulichofanya.Aonyeshe alichofanya hii itamsaidia
 
lissu is not predictable, is more of aggresive,wild goose. ukisema clubhouse ni matahira ni sawa na kusema jf ni matahira ir every other platforms ambazo kuna watu wana m support, not fair at all.
Ulitegemea Kada yeyote wa Ccm aseme nini zaidi ya hivyo. ?! 🙏
 
Sio kweli, kwani alichoongea ,kipo na adhali gani kiusalama wa nchi? Nakubali yapo mambo ukiyatamka yanaweza kuwa na adhali kwa usalama wa nchi ,je alichosema lissu kwa usalama wa nchi ipo adhali yoyote?

Unafikili kwa nini viongozi wetu waliopo madarakani na wasiokua madarakani wanalindwa ? Pale halindwi mtu bali inalindwa nchi kwa usalama wa nchi .

Alicho kiongea lissu sio tishio kwa usalama wa nchi ,asikilizwe , Chadema sio nchi ni chama, ccm sio nchi ni chama japo ndo kipo madarakani , Rais ni raia no moja na mwakilishi wa nchi ila sio taifa.

Taifa kwanza mengine badae ,lissu yupo na hoja ,na kwa hoja zake hajavunja sheria yoyote ya kikatiba ,huu ndo ukweli wa Mungu wangu
 
BAWACHA wakiongozwa na BoniYai watamjibu Lisu kama kawaida yao
 
Either unapotosha au hujui unachoongea.
 
Wewe mwenye akili timamu nitajie hayo madudu 3 tuu aliyofanya Ili tujue.
Mbona Bawacha hamkuwachukulia hatua walivyochoma vitenge vya picha ya Samia kama yule kijana wa Mbeya alichoma picha ya mama yenu akakamatwa ?
 
Baada ya uchaguzi namwona Lissu akipeperuka zake. Aidha kuhama chama au kutokomea zake ulaya. Hela anayo tayari
 
Hahaha nahisi ukijua saana sheria unaweza kuwa mwehu na bado wakakushangilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…