Pre GE2025 Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naunga mkono hoja ila pengine walimpa tuzo ili kumtongoza wafanikishe mambo waliyokuwa wameyapendekeza si unajua Mbowe ni born town kitambo anazijua vizuri akili za wanawake ila bahati mbaya mambo yakafeli.
 
CCM Wanampigia chapuo FAM awe mwenyekiti.

..........Kitu nimejifunza hii nchi kila mwanasiasa ni CCM damudamu.
 
Mbowe tapeli sana!

Siku hiyo akajitutumua kutoa hotuba anamnanga Magagufuli eti "never and never again"

Kumbe lilikuwa linafurahia kupata uhuru wa kupiga mihela ya mama Abdul!

Pumbavu sana
😂 😂 Mbowe Saccos
 
nadhani kwasabb ya mdomo mambo mengi ya Chama Lisu hakua anafahamishwa 🐒
 
Sijaona shida mpaka hapa mkuu,huyu ndie, kama tunaamini kuwa mwenyekiti lazima kuwa na usiri katika mambo ambayo hayaitji usiri ,tutakuwa niwajinga sana
Usiri wa kijinga ndo umetufikisha hapa, unawekaje usiri katika mambo ya umma? Chadema wajitafakari watakimbiwa na umma watabaki na cheti tu Cha msajiri
 
Watu hawapendi ukweli. wamezoea kufichwa fichwa mambo. so akitokea mtu akasema ukweli jinsi ulivyo wanachanganyikiwa. Lisu kaulizwa swali na yeye kajibu bila kuuma ila wengine ndio wanaumia. Mkiti ana madoa kwa kweli angekaa tu pembeni sema naona handlers wake wamemwambia kuwa lisu ni hatari kwetu akiwa ndio mkuu wa chadema so imebidi aendelee
 
Naunga mkono hoja ila pengine walimpa tuzo ili kumtongoza wafanikishe mambo waliyokuwa wameyapendekeza si unajua Mbowe ni born town kitambo anazijua vizuri akili za wanawake ila bahati mbaya mambo yakafeli.
Haahaa, Samia kamweza Sana mbowe, kapigwa maridhiano feki, kapora uchaguzi serikali za MITAA kapita hivi.Bado mwakani sasa😂
 
Lissu anapingwa chadema kwa sera yake ya ukweli na uwazi, kitu ambacho chadema wanakihubiri lakini kwa ndani hawako hivo
 
Ndo hivo, nchi hii inahitaji viongozi wa kweli na wawazi sio wanafiki na wajanja janja kama boni yai kumbe wapiga deal
No one has time to deal with your emotionals.

Mbowe anapwaya, ni muda wa mtu mwingine: Lakini sio Lissu.
 
tuzo za mchongo huku uhalisia ukiwaumbua,ni aibu kubwa kwa mtu anayejiita msomi kuwa mbwa wa mtawala kisa umaskini.
 
Nawakumbusha tu mkumbusheni nae pia bila Mwamba saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !
N a kama hujui maana yake nenda ka google.
Kwa hiyo awe na heshima kwa Mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…