Pre GE2025 Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3183698

Tuko hapo na festival seasonal ‘Memphis and Clippers’.

Hayo mambo yenu ni past-time tu.
Kuna wakati huwa unakuwa chizi kwelikweli!

Sisi yatatusaidia kitu gani hayo unayo yafanya wewe huko. Umeambiwa lini kuwa jukwaa hili ndipo mahali sahihi pa kuleta takataka zako?

Wakati mwingine unakuwa mtu kama uliye rukwa na akili kichwani. Huko 'upstairs' kwako bila shaka kuna natiu zimelegea!
 
Hafai kuwa kiongozi wa juu huyu banamdogo ana nongwa
Wewe unafaa kitu gani, maana hata kueleza jambo ukaeleweka huwezi!

Nani anayefaa. Mbowe mwenye busara, si ndiyo huyo hapo kanunuliwa mzima mzima kama chupa ya konyagi?
Nyinyi watu sijui akili zenu zimelalia wapi?
 
M
Bado unaamini huyu mtu anafaa kuwa mwenyekiti wa chama.

Predictable na wenzake wa clubhouse.
Mkuu kama unachunguza ndiye mtu pekee mwenye ujasiri na kumface Mbowe the way it is.

There are all manner of signs kuwa Mbowe ana backup ya system. Wote walio jaribu kuonekana kuwa tishio kwake ni ama waliuawa, walipotea katika mazingira ya kutatanisha, walilazimika kuchomka Chadema au waliunga juhudi.

Tundu Lissu has learned all the lessons, he is using the only way that befits the circumstances and timing.
And at this juncture he is way a head!!

Even if he looses to Mbowe he would has in no doubt already left an irredeemable damage to him, his image and his camp more than any one else.
 
Mnaodhani lisu anaweza kuiangusha au kuiua CCM mna fikra ndogo sana...hamjui uchambuzi wa utendaji wa chama au serikali...poleni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…