Pre GE2025 Lissu ataka mabalozi wa nchi mbalimbali wawepo kama waangalizi wa Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ili "kuongeza macho"

Pre GE2025 Lissu ataka mabalozi wa nchi mbalimbali wawepo kama waangalizi wa Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ili "kuongeza macho"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Kumbe suala la wizi wa kura haliko ndani ya CCM tu, hadi huko CHADEMA mambo yanaonekana kuwa moto.

Lissu akiwa anazungumza leo amesema kuwa ameishauri kamati kwamba wawepo mabalozi au wawakilishi wao ambao watakuwa kama wangalizi wa Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Haya ndiyo maneno yake:

"Sambamba na viongozi wa kidini, kamati kuu vile vile iwaalike wawakilishi wa kibalozi wa nchi rafiki ili nao washiriki kama watazamaji wa uchaguzi wetu. Hiyo pia itaongeza uzito wa uchaguzi wetu ikiwemo kuongeza macho dhidi ya wale wote wanaopanga uchaguzi huo"

===========================================


Lissu ameona nini mpaka atake mabalozi wa nchi za nje wakawe watazamaji wa uchaguzi wa ndani?

Ndiyo kusema kuwa hata CHADEMA kuna wezi wa kura?


View attachment 3189947
Ila mbowe sidhani kama ataafiki Hilo la kuangaziwa uchaguzi ndo ujue sasa kuna nn kinaendelea pale! democrasia ni rahisi sana kutamka ila utekelezaji wake ni mgumu! mbowe dhihirisha democrasia Kwa vitendo hatutaki maneno sie!
 
Wakuu,

Kumbe suala la wizi wa kura haliko ndani ya CCM tu, hadi huko CHADEMA mambo yanaonekana kuwa moto.

Lissu akiwa anazungumza leo amesema kuwa ameishauri kamati kwamba wawepo mabalozi au wawakilishi wao ambao watakuwa kama wangalizi wa Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Haya ndiyo maneno yake:

"Sambamba na viongozi wa kidini, kamati kuu vile vile iwaalike wawakilishi wa kibalozi wa nchi rafiki ili nao washiriki kama watazamaji wa uchaguzi wetu. Hiyo pia itaongeza uzito wa uchaguzi wetu ikiwemo kuongeza macho dhidi ya wale wote wanaopanga uchaguzi huo"

===========================================


Lissu ameona nini mpaka atake mabalozi wa nchi za nje wakawe watazamaji wa uchaguzi wa ndani?

Ndiyo kusema kuwa hata CHADEMA kuna wezi wa kura?


View attachment 3189947
Yanii uyu Jomba yeye na Wazungu tu kuna kitu katumwa uyu sikuzote mbona akuitaji wazungu akukuwa na Chaguzi Chadema !!!!! Wenzake walianza zamani kuisaka haki lkn uyu uyu Lisu akawa ndio kikwazo leo anataka Uchaguzi wake yeye alete Wazungu ndani sitashangaa na mawakala wake wakawa Wazungu!!!
 
Ndivyo inavyopaswa iwe. Lakini watu wakianza kusema " kama uchaguzi utakuwa wa haki mtu wetu atashinda" hao wanaonyesha kuwa lengo lao ni mgombea wao ashinde kwa namna yeyote ile. Na mgombea nae akisema " nitakubali matokeo pale tu uchaguzi ukiwa huru na wasi" anapanda mbegu za kukataa uchaguz kama hatapendezwa na matokeo. Hii mbegu inamwagiwa maji na wapambe wake na uchaguzi ukifika itabaki kuvuna tu. Ubaya wa hiki wanachofanya ni kufanya watu watilie shaka zote za huko mbele hata yeye akiwa Mwenyekiti. Anachokifanya hakina tija kwa chama lakini inaelekea afya ya chama sio priority kama yeye kushinda.

Amandla...
Ni rahisi tu. Waletwe hao mabalozi anaowataka. Atakaposhindwa waangalizi wakiwepo atakosa neno. Akikataliwa halafu akashindwa atakuwa na hoja na nguvu ya kulalamika.
 
Hilo halina tatizo. Muhimu ni asizuiwe mtu kugombea. Au kupiga kura. Sitashangaa kuona wapiga wakiwekewa mapingamizi kuwa ni chawa wa Mbowe.

Amandla...
 
Ni rahisi tu. Waletwe hao mabalozi anaowataka. Atakaposhindwa waangalizi wakiwepo atakosa neno. Akikataliwa halafu akashindwa atakuwa na hoja na nguvu ya kulalamika.
Sidhani ( inawezekana nimekosea) kama mabalozi wanaweza kujiingiza katika masuala ya ndani ya vyama vya siasa. Wanaweza kutuhumiwa na serikali kuwa wanavuka mipaka yao. Hata hivyo tunakoelekea ni kuwa hatakosa neno hata kama utasimamiwa na malaika. Amejiingiza kwenye mtego aliochonga mwenyewe.

Amandla....
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Yanii uyu Jomba yeye na Wazungu tu kuna kitu katumwa uyu sikuzote mbona akuitaji wazungu akukuwa na Chaguzi Chadema !!!!! Wenzake walianza zamani kuisaka haki lkn uyu uyu Lisu akawa ndio kikwazo leo anataka Uchaguzi wake yeye alete Wazungu ndani sitashangaa na mawakala wake wakawa Wazungu!!!
Kwani balozi ni wazungu tu ata balozi wa kagame na museveni si wapo
 
Upuuzi mtupu..
Yaani Consulate waache kazi zao waje kumshadadia lisu na mbowe ?
 
Ila mbowe sidhani kama ataafiki Hilo la kuangaziwa uchaguzi ndo ujue sasa kuna nn kinaendelea pale! democrasia ni rahisi sana kutamka ila utekelezaji wake ni mgumu! mbowe dhihirisha democrasia Kwa vitendo hatutaki maneno sie!
Wakishindwa kupprove hapa mwakani tusiwasikie majukwaani eti tumeibiwa kura na ccm
 
Back
Top Bottom