Private Investigators
New Member
- Aug 18, 2020
- 3
- 57
25 August 2020
CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.
Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.
PI
CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.
Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.
PI