uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Kujua kiingereza kwa lissu huku hana maelekezo ni sawa na kujua kuongea kijauo tuu.Huyo bichwa baya wenu asiyejua kuongea kiingereza, mara hii ataishia the Hague la sivyo akimbilie kwao Rwanda.
Tutamgombea na kumchanachana vipande mithili ya digidigi aliyeraruliwa na mbwa mwitu kule Serengeti.
Kweli bangusilo sasa unataka tushindane kutukana wazazi bwana bangusilo?Bangusilo mama yako ambaye maoni haya kugegedwa na mimi rika la mtoto wake wa kwanza! AMA kweli ng'ombe hazeeki maini!
Kwanini usitamani wamkate mgombea wa CCM ili wao wawe wa kwanza kukinukisha?Mimi natamani wamkate ili kinuke tu maana heshima haiji hivi hivi, kikishanuka ndio itakuwa mwanzo na mwisho kwa chama chochote cha siasa kutambua ya kwamba uongozi ni dhamana tu na ukishapewa dhamana fanya yale wanachanchi waliokutuma kufanya
Labda namna hii ccm itaanza kutuheshimu maana wanawachokoza watz kila siku ili wakinukishe lkn tumekaa kimya.....Mimi natamani wamkate ili kinuke tu maana heshima haiji hivi hivi, kikishanuka ndio itakuwa mwanzo na mwisho kwa chama chochote cha siasa kutambua ya kwamba uongozi ni dhamana tu na ukishapewa dhamana fanya yale wanachanchi waliokutuma kufanya
Siasa lazima uifuatilie maana ndo imeshika hatamu ya maendeleo yako tamko mmoja tu la mwanasiasa linaweza sababisha hasara kwako au faida!!siasa ni maishaDaaah yaan hii Kiki imetufanya ata sisi tusiopenda siasa tutamani kuangalia ubaoni iyo saa kumi jioni. Patamu apo
Haki Huinua Taifa
Wakisusa watajimaliza wenyewe, rejea kilichotokea uchaguzi serikali za mitaa.Let's face it!
Yaani badala ya kususia uchaguzi na kusisitiza Tume Huru mnakuja kujificha huku na haya matumaini hewa!!??
Wanajitoa ufahamuKumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.
Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.
CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?
walikuwepo wakubwa zaidi yake walikatwa sembuse yeye atakatwa na nchi itatulia25 August 2020
CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.
Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.
PI
Muda wa kususa ulishapita kitambo... Sa hivi ni kuhamasisha wananchi wawe upande wao...Wakisusa watajimaliza wenyewe, rejea kilichotokea uchaguzi serikali za mitaa.
Week yote kumekuwa na vikao vingi kati ya NEC jaji kaijage binafsi kakaa na IGP Shibuda Lipumba polepole kujadili jinsi ya kumkomoa Tundu lisu kuidhoofisha chadema25 August 2020
CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.
Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.
PI
Wapo wanaccm wapenda haki wamepenyeza siri kuwa zipo njama za kuihujumu chademaKwani tundu Lissu anamakosa gani Hadi chadema mnahangaika mitandaoni kuhofia atakatwa?
Kumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.
Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.
CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?
Lissu ni Samson wa leo. Anaua Simba kwa mikono.
CCM kushinda labda wapinzani washindwe kutoa kampeni zinazowagusa watanzania wa hali ya Chini na kati ambao wanaweza kuendelea na maisha yao bila kuwa na Bombadier ,Stiglers Gorge na Reli. Kabala ya Kuja mifumo kandamizi ya kizungu inayoendelezwa na CCM Kilwa ulikua ni mji mkubwa sana Duniani wenye wafanyabiashara na matajiri wengi sana walioendesha maisha yao vizuri.Ccm wanajua ushindi ni wao,ila hata wakimkata watamkata kwasababu ya hofu ya kupata magonjwa ya moyo baada ya Tundu Lissu kuanza kampeni,CCM ya sasa inaogopa sana ushindani wa hoja,tofauti na ile CCM ya kabla ya 2016,waoga halafu wanapenda kusifiwa sana.
Kumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.
Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.
CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?