Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Vijana walisema kitimutimu kimeingia leo, kwenye myumba ya Shetani Mwendawazimu kaingiaje?
Kweli msemo huo wa vijana ulikuwa na maana pana ya kifalsafa ndani yake. Jana Tundu Lissu katia timu katika ngome ya CCM ya Morogoro mjini na kisha kwenye Jimbo la Mikumi lililo chini ya profesa J na kuwasha moto mkali sana.
Akiwa Mikumi Lissu alizungumza juu ya uhuru na dhana ya uhuru. Akasema pamoja na hitajio la watu kufanya kazi kama serikali hii inavyojinadi, watu pia ni lazima wawe huru.
Akasema kufanya kazi kama manamba bila kuenjoy uhuru ni mambo ya kikoloni ambapo walikuwa wakiwafanyisha kazi manamba bila uhuru.
Lissu akasema Miundo mbinu ambayo Magufuli anajitapa nayo, siyo yeye wa kwanza kuanza kuijenga maana hata maraisi waliopita kila mmoja alijenga miundo mbinu kulingana na wakati husika, na pia hatokuwa mwisho kujenga maana hata serikali zijazo nazo zitajenga kwa kuwa kujenga miundo mbinu ni kazi basic ya serikali yoyote ile duniani!
Kwa nondo zaidi msikilize wewe mwenyewe hapa:
Kweli msemo huo wa vijana ulikuwa na maana pana ya kifalsafa ndani yake. Jana Tundu Lissu katia timu katika ngome ya CCM ya Morogoro mjini na kisha kwenye Jimbo la Mikumi lililo chini ya profesa J na kuwasha moto mkali sana.
Akiwa Mikumi Lissu alizungumza juu ya uhuru na dhana ya uhuru. Akasema pamoja na hitajio la watu kufanya kazi kama serikali hii inavyojinadi, watu pia ni lazima wawe huru.
Akasema kufanya kazi kama manamba bila kuenjoy uhuru ni mambo ya kikoloni ambapo walikuwa wakiwafanyisha kazi manamba bila uhuru.
Lissu akasema Miundo mbinu ambayo Magufuli anajitapa nayo, siyo yeye wa kwanza kuanza kuijenga maana hata maraisi waliopita kila mmoja alijenga miundo mbinu kulingana na wakati husika, na pia hatokuwa mwisho kujenga maana hata serikali zijazo nazo zitajenga kwa kuwa kujenga miundo mbinu ni kazi basic ya serikali yoyote ile duniani!
Kwa nondo zaidi msikilize wewe mwenyewe hapa: