the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
"Utawakumbuka kina mch. Peter Msigwa, mch. Getrude Rwakatare, Askofu Josephat Gwajima, Mch. Israel Nakse mbunge wa karatu baada ya Dkt. Slaa wote hawa ni viongozi wa kidini ambao wametoa mchango mkubwa katika maendeleo ya kisiasa ya nchi hii. Kwa hiyo hii fikra kwamba viongozi wa kidini hawapaswi kujihusisha na siasa ni nonsense tu ya watu wasiojua historia ya nchi hii ama wenye lengo la kupotosha" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma: LGE2024 - Viongozi wa Dini na Siasa Tanga waridhishwa na Uchaguzi Serikali za Mitaa
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma: LGE2024 - Viongozi wa Dini na Siasa Tanga waridhishwa na Uchaguzi Serikali za Mitaa