Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Kuna wakati wananchi waliwahi kuandamana? Hakuona wale walioonyesha nia ya kuandamana wanavyoshughulikiwa?"....Lazima tujiulize, tumewakosea wapi WANANCHI hadi kupelekea hawaiamini tena Chadema?"
"....mfano, imefikia M/kiti akiitisha maandamo anaye jitokeza ni binti yake na yeye peke yake-kwanini?!"
"....watu waliokuwa tayari kutufia, sasa wana kiona Chadema kama rafiki kipenzi wa CCM."
Tundu.
Weka Ile Clip"....Lazima tujiulize, tumewakosea wapi WANANCHI hadi kupelekea hawaiamini tena Chadema?"
"....mfano, imefikia M/kiti akiitisha maandamo anaye jitokeza ni binti yake na yeye peke yake-kwanini?!"
"....watu waliokuwa tayari kutufia, sasa wana kiona Chadema kama rafiki kipenzi wa CCM."
Tundu.
Yaani hukuwahi kushuhudia mwitikio wa WANANCHI kwenye maandamano ya Chadema?Kuna wakati wananchi waliwahi kuandamana? Hakuona wale walioonyesha nia ya kuandamana wanavyoshughulikiwa?
Angalau amekiri kuwa Mbowe na binti yake aliandamana.
Natumaini mojawapo za hatua za kwanzo atakazo chukua ni kuitisha maandamano. Tutaona muitikio wa wale ambao anasema hawana imani na Mbowe utakuwaje.
Amandla...
Tangu lini nyinyi ccm muwe na uchungu na nchi hii..?Kuna wakati wananchi waliwahi kuandamana? Hakuona wale walioonyesha nia ya kuandamana wanavyoshughulikiwa?
Angalau amekiri kuwa Mbowe na binti yake aliandamana.
Natumaini mojawapo za hatua za kwanzo atakazo chukua ni kuitisha maandamano. Tutaona muitikio wa wale ambao anasema hawana imani na Mbowe utakuwaje.
Amandla...
Makumi? Ndio unajisifia? Na wakati ule hapakuwa na mazoezi ya usafi yakifanyika?Yaani hukuwahi kushuhudia mwitikio wa WANANCHI kwenye maandamano ya Chadema?
Ulikuwa wapi Slaa na wenzake walipokuwa wakiungwa mkono na makumi ya WANANCHI barabarani kudai mabadiriko?
Sasa nimekuwa CCM kwa sababu simkubali Lissu?Tangu lini nyinyi ccm muwe na uchungu na nchi hii..?
Maandishi hayaonekani au wewe ni mlemavu wa macho?Weka Ile Clip
Mipasho imekua mingi sana"....Lazima tujiulize, tumewakosea wapi WANANCHI hadi kupelekea hawaiamini tena Chadema?"
"....mfano, imefikia M/kiti akiitisha maandamo anaye jitokeza ni binti yake na yeye peke yake-kwanini?!"
"....watu waliokuwa tayari kutufia, sasa wana kiona Chadema kama rafiki kipenzi wa CCM."
Tundu.
Full video: Hii hapa | Tundu Lissu: Kwanini Nagombea Uenyekiti wa CHADEMA na Hali ya Sasa ya Siasa TanzaniaWeka Ile Clip
Watu wanasaka kura kwa hisabati yeye kutwa kucha anabwabwaja mitandaoni - akipatanl kura 7 asingizie oohh Mbowe kahonga wajumbe wotee pamoja na yeye.Lisu sasa anaehuka
Maandamano yanaitishwa na chama sio Mbowe
Toka lini Mbowe kama Mbowe akaitisha Maandamano?
KabisaSiku chache zimebakia karibu itajulikana mbichi au mbivu
Usiwe boya mengine wanachomekea tu hamna sehemu lisu kaongea hivyoKuna wakati wananchi waliwahi kuandamana? Hakuona wale walioonyesha nia ya kuandamana wanavyoshughulikiwa?
Angalau amekiri kuwa Mbowe na binti yake aliandamana.
Natumaini mojawapo za hatua za kwanzo atakazo chukua ni kuitisha maandamano. Tutaona muitikio wa wale ambao anasema hawana imani na Mbowe utakuwaje.
Amandla...